Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Nimekuja fasta nikajua unaongelea majina ya kwenye kitabu cha wageni!
 
baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Hakuna MTU duniani mwenye Haki miliki ya jina.Mf Wema au Dianna wako kila Kona duniani.kama utaenda kusajiri jina binafsi basi watakushauri kuwe na jina lifuatalo la ziada lisilo na ukakasi...
 
Grahams nazani unaona jinsi gani vijana wanajaribu ku brand biashara yako mkuu
Nimeona Mkuu, Kwa kweli nimejifunza kitu.

Nafikiri Siku Moja nitamweka Mapokezi Wema Sepetu ama Hamisa kwaajili ya Kuwavutia wateja wangu.

Najua wateja wangu wakihudumiwa hata matauro tu na hao watu japo Kwa Siku moja, wataenda kuhadithiana hivyo kuzidi kuja wengi Kulala kwangu 🤗
 
Sorry nilikuwa na mgeni

Unamilik guest wapi?

Wateja utapata kwa sababu wanafata huduma, ila kiukweli huwa walinzi wanakaa na number za wanaojiuza ukitaka wanakupa. So sioni tofauti hapo, hata hizi guest za kawaida zina watu silent wanajiuza
Worry out mkuu

Guest yangu bado iko kwenye mchakato mkuu.Nataka by mwakani Feb. hivi ianze kazi,

Nafikiria kulenga kutoa huduma nzuri waje watu kwa lengo la kufuata huduma nzuri na sio machangudoa ila yakfanyika
nyuma ya pazia hiyo huwezi zui ila kujua kabisa kuwa nahusika kuuza ngono nitakosa amani
 
Sorry nilikuwa na mgeni

Unamilik guest wapi?

Wateja utapata kwa sababu wanafata huduma, ila kiukweli huwa walinzi wanakaa na number za wanaojiuza ukitaka wanakupa. So sioni tofauti hapo, hata hizi guest za kawaida zina watu silent wanajiuza
Mkuu Gily Gru naomba siri mbili tatu za kufanikiwa ktk hii biashara ili siku nikifungua nisiyumbe🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…