Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio jirani alikuwa mrembo zamani saivi ni zombie tuChai kuwa Wema sio mrembo😀
Usuapata part time job.Sana.
Naambiwa tokea nipost huu uzi wana JF wamepafanya chimbo lao😃
Hii quote yako nimeiona saivi lolVibungo ni nini jirani?
Ni typing error.Sijakuelewa mkuu
Nimekupata vyema jirani ila sisi wabovu wa sura,umbo,ngozi ,sauti na tabia tunaitwaje?😭☹️😀.Hii quote yako nimeiona saivi lol
Vibungo ni madem/wanawake wabovu wasio na muonekano mzuri mfano sura mbaya, shepu flat screen, ngozi mbaya etc
Note: Kibungo anaweza kuwa na tabia /personality nzuri tu ila appearence yake ikiwa mbaya tu anakosa physical attraction
We ni mzuri jiraniNimekupata vyema jirani ila sisi wabovu wa sura,umbo,ngozi ,sauti na tabia tunaitwaje?😭☹️😀.
Asante kwa kunipa moyo jirani ila ngojea nianze kuifanyia kazi tabia yangu iko siku inaweza kuniokoa😃😃We ni mzuri jirani
Hao wabovu wa kila kitu ndo wanaitwa vibungo /kibungo ni yule anayekosa mvuto wa nje /mwili hivyo inakuwa ngumu kumshawishi mwanaume physically amtongozee labda tu awe na tabia nzuri ndo anaweza kuwapiku madem wazuri
Ndo maana wanaume wengi wanaoa vibungo /madem wa kawaida ila michepuko yao ni mizuri na pisi kali. 😄😄
Mke mwema ni lazima awe na sifa ya tabia nzuri ndo kitakachomtuliza mumewe🤗🤗🤗Asante kwa kunipa moyo jirani ila ngojea nianze kuifanyia kazi tabia yangu iko siku inaweza kuniokoa😃😃