Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Na wao hawaoni kama unawazidi Sasa sijui ni shobo au nini mpaka uwajadili watu ambao wanafurahia maisha Yao wakiwa America na wewe upo Kwa mtogole
Sijaanza kuwajadili, ama kuwahusudu. Nilijibu hoja kwamba black American wana maisha mazuri. Nikasema hapana,, uzuri kimaisha ni mtazamo tu.
 
Ukitaka wahindi nenda India. Utarudi nao kwa mafungu makubwa kama nyanya za masala soko la Mabibo. Waarabu, shida yao wanakata mkono kwanza. Ukirudia wanakata ile kitu.
Ila nenda Igunga, Nzega, Kahama, Shinyanga etc. Kule nako utarudisha timu mwenyewe nyuma. Kiufupi usiogope kitu
Ukimuoa Mhindi ukaja naye Tanzania, wahindi wenzake ili kuepusha aibu watamchangia mamilioni kumtorosha arudi kwao. Labda ukioa uishi naye nchi zilizoendelea. Ila kwao wanalala kwenye madararaja na corridor za duka.
 
Wewe huna lolote ningekuona unafata Mila usingetumia hiyo simu hivyo inaonesha umasikini unakusumbua
Unachanganya hoja. Usihamishe mjadala rafiki. Matumizi ya simu, au gari au ndege au chochote sio mjadala. Kudharau asili yetu ndio hoja tu.
 
Unachanganya hoja. Usihamishe mjadala rafiki. Matumizi ya simu, au gari au ndege au chochote sio mjadala. Kudharau asili yetu ndio hoja tu.
Ndio maana nakuambia Huna akili tengeneza simu Yako tengeneza gari lako hivyo vyote ni asili za watu wewe mweusi umeviingilia asili Yako wewe sio hivyo vitu
 
Ndio maana nakuambia Huna akili tengeneza simu Yako tengeneza gari lako hivyo vyote ni asili za watu wewe mweusi umeviingilia umasikini unakusumbua asili Yako wewe sio hivyo vitu
Unapenda kusemea akili,, akili. Haya nihakikishie kuwa wewe kutumia majina ya kizungu kunakuongezea akili. Na mimi kuitwa majina ya kibantu kunanipunguzia akili.
 
Unapenda kusemea akili,, akili. Haya nihakikishie kuwa wewe kutumia majina ya kizungu kunakuongezea akili. Na mimi kuitwa majina ya kibantu kunanipunguzia akili.
Nimeshakuambia kama unatumia simu wewe huna lolote ushaingilia tamaduni za watu wakati wewe ni mweusi tii kama lami
 
Nimeshakuambia kama unatumia simu wewe huna lolote ushaingilia tamaduni za watu wakati wewe ni mweusi tii kama lami
Haya mtetezi wa wazungu. Siwezi kushindana na shabiki lia lia wa wazungu. Baki na wazungu na majina yao. Mtoa mada hakusema habari za simu. Amesema majina ya kibantu. Umeitumia hoja ya simu ili kujipatia ushindi wa kuwatetea wazungu na waarabu.
 
Haya mtetezi wa wazungu. Siwezi kushindana na shabiki lia lia wa wazungu. Baki na wazungu na majina yao. Mtoa mada hakusema habari za simu. Amesema majina ya kibantu. Umeitumia hoja ya simu ili kujipatia ushindi wa kuwatetea wazungu na waarabu.
Narudia tena kama unatumia simu huna lolote umeingilia tamaduni za watu hapa mada ni tamaduni
 
Narudia tena kama unatumia simu huna lolote umeingilia tamaduni za watu hapa mada ni tamadun

Narudia tena kama unatumia simu huna lolote umeingilia tamaduni za watu hapa mada ni tamaduni
Anzisha mada yako ya simu, mada ilihusu kupapatikia majina ya waupe tena wazungu na waarabu. Wewe niache na uafrika wangu, nawe baki na uzungu uchwara wako.
 
Anzisha mada yako ya simu, mada ilihusu kupapatikia majina ya waupe tena wazungu na waarabu. Wewe niache na uafrika wangu, nawe baki na uzungu uchwara wako.
Ukishatumia simu huna lolote wewe endelea kuigiza Mimi sio muafrica nachukia uafrica sababu ni unyani mfano wewe ni nyani kamili
 
Back
Top Bottom