Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Umejiunga JF 2024, Mimi nimejiunga 2014.. Miaka 10 iliyopita. Sikuwa nafikiria kama ninavyofikiria sasa.
Acha nikubali hii ni account ya kwanza hapa jf....kwaio nawewe unakubali kwamba ulikosea na unaweza kufungua account mpya ya mwaka 2025 itakayotukuza uafrica? Maana John au Mohamad waliitwa hayo majina bila kupenda na wazazi wao ila wewe City Owl umejiita mwenyewe kwa kutukuza ukoloni
 
Acha nikubali hii ni account ya kwanza hapa jf....kwaio nawewe unakubali kwamba ulikosea na unaweza kufungua account mpya ya mwaka 2025 itakayotukuza uafrica? Maana John au Mohamad waliitwa hayo majina bila kupenda na wazazi wao ila wewe City Owl umejiita mwenyewe kwa kutukuza ukoloni
Usichukulie hizi title za JF serious sana mkuu. Huwa ni maneno tu unakutana nalo huko.

Huwezi linganisha na Jina halisi ambalo ni utambulisho wako na wa jamii yako.
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Kwani jina lako lina maana gani? Ni la kabila gani? I 😁😁😁😁
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Shida ni kwamba si watu wengi wanaoona hilo kama kukumbatia ukoloni..
Yaani wazazi mkiwa wasukuma, mkapata mtoto mkamuita Manka, watu watawashangaa sana...lakini mtoto huyo huyo mkimpa jina Briana hakuna atakayeshangaa, sana sana watasifia jina zuri!!!
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
city owl ni jina la wapi mkuu
 
Jack Chan Bruce Lee hapo vipi si ya kizingu hayo
Usihadaike na hayo majina ya stage mkuu.

Bruce Lee's real Chinese name is Lee Jun-fan (李振藩). His family name is "Lee" (李), and "Jun-fan" (振藩) was given to him by his mother, meaning "return again," as she hoped he would return to Hong Kong, though he was born in San Francisco, USA.

Pia,

Jackie Chan's real Chinese name is Chan Kong-sang (成龍). The name "Kong-sang" (港生) means "born in Hong Kong," as he was born there in 1954. He later adopted the stage name "Jackie" while working in Australia, and "Chan" (成) is his family name.

Tuna wachina hapa Bongo wanaitwa Michael au John.
Usidhani ni yao serious. Ni ya kuendania na mazingira tu. Hata kwenye vyeti vyao hayapo.
 
Waafrika wapo karibu na wazungu na waarabu genetically ndio maana wanakuwa rahisi kukopi utamaduni wa wazungu na waarabu😃😃😃
😂😂😂😂
We jamaa una utani!

Sasa mbona wao kwa wao hawakopiani?
 
Back
Top Bottom