Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Kabisa huu ndo ukweli, nakumbuka nilienda kumbatiza firstborn (nilimpa jina la kiswahili) akasema hilo jina halipo kwenye biblia nitafute lililopo kwenye biblia, nililichukia hilo kanisa RC na sikurudi tenaaaaaa niko zangu Lutheran saiv
Wanawake mnapenda sana kuzira na kususa ila ningekuwa karibu ningekubembeleza.
 
MAASAI MEN

Losaru
Lobulu
Logotu
Longishu
Loo Mbesai
Losujaki
Lomayan
Loserian
Losyeku
Naomi

MAASAI WOMEN

Nossim
Nana
Nasyeku
Naserian
Namayan
Nongishu
Noo Mbesai
Naisujak
Nabulu
Naomi
Niliwahi kuwa na pisi moja inaitwa Naomi ni mixture ya Maasai na Mang'ati aisee ni 🔥
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Wewe mwenyewe tatizo City Owl ndio nini ?
 
Majina ya ukoo yako pale pale, maybe hawawapi watoto wao lakin hayapotei
Tatizo ni kwamba kizazi chetu ndiyo tunathamini majina ya ukoo.
Kizazi Cha pili na tatu kutoka sasa hawataona thamani ya hilo jina la ukoo, wataachana nalo.

Bila shaka umeshakutana na watanzania kibao hawana hata jina la ukoo.

Pia, ukiitwa Paul Ferdinand Urio, karibia 70% ya utambulisho wako ni uzungu mtupu. Na hapo ndipo wengi tulipo.
Amini nakuambia, kutoka 70 kwenda 100 ni rahisi kuliko kurudi 0.
 
Maana ya majina ni kumtambulisha mtu
Ukiskia Lui xin unawazia China
Ukiskia Takumi sagiwara unawazia japan
Ukiskia Uche Abe unawazia Nigeria
Ukiskia Mamadou Camara unajua ni Mali senegal na wengineo
Ukiskia Siphiwe unajua ni SA


Haya twende ukiskia Nasiib abdul
Elizabeth michael
Abdallah Hussein
Jose Franklin


Najivunia majina yangu ni asili yangu
Naitwa Shukurani
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Uko sahihi kabisa. Majina yetu ya asili, ambayo mengi yana maana kama Mabula, Mayala, Mwooga, nk. Tumemeba majina ya ubatizo. Mbeleni tutapoteza identity kabisa!
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
tatizo le2 2nachamba wima!!
 
Back
Top Bottom