Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano Mimi Charles Joachim Elias manoniNdugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Tatizo ni kwamba watoto au wajukuu wako hawatafikiri kama wewe. Wao wataachana na hiyo manoni.Mfano Mimi Charles Joachim Elias manoni
Hapo ni kupambana surname origin isipotee
Mtoto wangu nimwembita Brian Charles manoni
Surname yetu ya manoni haito potea..
Majina ni ya kubuni 😅
Ntawa curse 🤣😂Tatizo ni kwamba watoto au wajukuu wako hawatafikiri kama wewe. Wao wataachana na hiyo manoni.
Utumwa wa kifikra mbaya sana aseee.Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Kwanini usitumie Mbuzi KagomaBora sisi Wangoni, tunatumia majina ya wanyama,
Mfano Mimi naitwa Mbuzingombe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila nyie watu.Yana roho wachafu😂
Mkuu, unadhani kwanini jamii zingine hazitumii majina yetu ya kiafrika, ila sisi tunatumia yao?Urithi wa kwanza uliobora kwa mtoto ni jina...
Wewe mwite Mashaka, Masumbuko, Gwandumi, Mayala au Anyosise, Kamala au Rugaba au Manka hakuna Shida.
Mwingine atamwita Happy au Joy,Marry, Joshua sawa tu...
Ila kumbuka Urithi ulio bora wa kwanza ni jina.
Hata Lugha zetu hawazijuiMkuu, unadhani kwanini jamii zingine hazitumii majina yetu ya kiafrika, ila sisi tunatumia yao?
Hiyo hapana mkuu, vijana wanaweza kuja pm, wakijua Mimi ni demu navutia biashara,
Sasa maana yake si unamuambia tu.Hata Lugha zetu hawazijui
Siku wakianza kutumia Lugha itakuwa rahisi kutumia majina.
Unawezaje kumrithisha mtoto wako kipenzi zawqdi yake ya kwanza kwa kitu usichojua maana yake?
Acha uongo. Hata kama mnapinga uwepo wa Mungu, msitupakazie matope basi dogo. Mbona we unajiita min -me na kwanini usingejiita masumbuko hapa JF?Dini, wanadai majina kama mabula palamagamba ni ya kishetani🤔