Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Halafu ukikuta wabongo wenye 'exposure'. Wapo huko nje.
Wao huwa na upendo na majina ya kwao.

Unakuta wanawapa watoto wao majina ya kiafrika Kama vile Akili, Imara, Kweli, Malaika, n.k wakiwa huko huko Ulaya au Marekani.
Lakini mtu upo Nachingwea unataka mwanao awe Clinton Jones Schwarzenegger!
 
Sasa maana yake si unamuambia tu.

Hata ukimuita Mary, hawezi kujua maana ya Mary ni nini mpaka umueleze.
Kwanini usimpe jina la asili yake Kisha umwambie maana yake?
Kwanini Wachaga hawa wapi wanao majina ya Kihaya au Wazaramo hawapi watoto majina ya Kinyakisya.?
 
Swa
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Tatizo lipo kwenye maana ya haya majina...
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Mtu mweusi hana Utamaduni,baada ya kuwa concurred na Wazungu wakafaniliwa kuweka superiority zao ndio Hadi Leo hii Utasikia mtu anaitwa Love ila kuitwa Lukundo au Lukindo na Majina mengine yenye maana hiyo hiyo hataki kisa tuu hayana hizo Colonia tags.

Ujinga mtupu.
 
Mtu mweusi hana Utamaduni,baada ya kuwa concurred na Wazungu wakafaniliwa kuweka superiority zao ndio Hadi Leo hii Utasikia mtu anaitwa Love ila kuitwa Lukundo au Lukindo na Majina mengine yenye maana hiyo hiyo hataki kisa tuu hayana hizo Colonia tags.

Ujinga mtupu.
Kwanini wazungu mkuu? Je Nasri au Zayd nalo ni la kizungu?😀😀
 
Mtu mweusi hana Utamaduni,baada ya kuwa concurred na Wazungu wakafaniliwa kuweka superiority zao ndio Hadi Leo hii Utasikia mtu anaitwa Love ila kuitwa Lukundo au Lukindo na Majina mengine yenye maana hiyo hiyo hataki kisa tuu hayana hizo Colonia tags.

Ujinga mtupu.
Pia kwanini umeamua kujiita ChoiceVariable na sio Lukundo hapa JF?
 
Back
Top Bottom