Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Tuanzie kwako mkui, kwanini wewe ni City Owl na sio bundi?Sasa maana yake si unamuambia tu.
Hata ukimuita Mary, hawezi kujua maana ya Mary ni nini mpaka umueleze.
Kwanini usimpe jina la asili yake Kisha umwambie maana yake?
Kwanini Wachaga hawa wapi wanao majina ya Kihaya au Wazaramo hawapi watoto majina ya Kinyakisya.?Sasa maana yake si unamuambia tu.
Hata ukimuita Mary, hawezi kujua maana ya Mary ni nini mpaka umueleze.
Kwanini usimpe jina la asili yake Kisha umwambie maana yake?
Tatizo lipo kwenye maana ya haya majina...Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Mtu mweusi hana Utamaduni,baada ya kuwa concurred na Wazungu wakafaniliwa kuweka superiority zao ndio Hadi Leo hii Utasikia mtu anaitwa Love ila kuitwa Lukundo au Lukindo na Majina mengine yenye maana hiyo hiyo hataki kisa tuu hayana hizo Colonia tags.Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Sawa, kwani sio bundi na sio City Owl mkuu?Mimi ni najiita City Owl kwa kuwa hapa JF tunatumia Majina feki.
City Owl ni Jina Feki kabisa.
Ni upunguani tuu wa jitu jeusi,ingekuwa hayo Majina ya Kiarabu ndio yankupa pesa au Cheo basi Jakaya asingekuwa Rais.Pwani ndio kabisa ni mwendo wa Nasri Nassoro Abdalah hakuna tena kina mbonde Wala mbwinde
Kwanini wazungu mkuu? Je Nasri au Zayd nalo ni la kizungu?ππMtu mweusi hana Utamaduni,baada ya kuwa concurred na Wazungu wakafaniliwa kuweka superiority zao ndio Hadi Leo hii Utasikia mtu anaitwa Love ila kuitwa Lukundo au Lukindo na Majina mengine yenye maana hiyo hiyo hataki kisa tuu hayana hizo Colonia tags.
Ujinga mtupu.
Pia kwanini umeamua kujiita ChoiceVariable na sio Lukundo hapa JF?Mtu mweusi hana Utamaduni,baada ya kuwa concurred na Wazungu wakafaniliwa kuweka superiority zao ndio Hadi Leo hii Utasikia mtu anaitwa Love ila kuitwa Lukundo au Lukindo na Majina mengine yenye maana hiyo hiyo hataki kisa tuu hayana hizo Colonia tags.
Ujinga mtupu.
Utakuta mtu anaitwa James Godlisten ππππWe unasema tu mkuu.
Fika shule ya msingi ucheki attendance list ya watoto unaojua kabisa ni wachaga ndiyo utalia.
Wachaga wa primary siku hizi wazazi wao wamewapa majina ya kizungu tupu. Hakuna Cha Temu wala Masawe.
Kwa sababu nimetumia jina la taaluma nilivyosoma na tafsiri yake haipo Bado kwenye kiswahili.Pia kwanini umeamua kujiita ChoiceVariable na sio Lukundo hapa JF?
Maarabu hayo ππKwanini wazungu mkuu? Je Nasri au Zayd nalo ni la kizungu?ππ