Hata msikiti haukulazimishi kubadili jina. Shida ni sisi wenyewe waumini mkuuNa kanisa lina operate kulingana na utamaduni wa sehemu husika
Kwa nchi ambayo wananchi wake wanajali tamaduni zao hawana hata haja ya kubadili majina ili kuwa wakristo
🤣🤣🤣🤣Wewe mwenyewe humu JF ambapo hata hujulikani umetumia jina la City Owl au hilo ni jina la kingoni?
Mkuu jitahidi uyaishi mahubiri yako ;-)
Kuna wengine hawabatizi mtt mpka awe na jina kutoka kwenye bibliaHata msikiti haukulazimishi kubadili jina. Shida ni sisi wenyewe waumini mkuu
Sawa, sasa kwanini bado City Owl na sio bundi? 😀😀😀😀Wakati najiunga JF mwaka 2014, sikuwa na fikra nilizonazo sasa.
Miaka 10 imepita, nimekua zaidi, nimebadilika kwa mengi.
Hii hatari ndo maana mleta mada kafungua uziKuna wengine hawabatizi mtt mpka awe na jina kutoka kwenye biblia
Majina ya kigeni ni utumwa, ushamba, ulimbukeni, ujinga na kudhani ndiyo ustaarabu. Hakuna kitu nakichukia kama majina ya nje. Mtu analazimisha kubana pua anapomwita jina la weupe, wakati wao wanatuona nyani, takataka tu. Ningekuwa na uwezo kuhusu majina, ningepiga marufuku mtu kuita jina la weupe, bila kujali dini. Dini mtu ajiamulie lakini sio jina. Mimi nina watoto 2 wana majina ya kibantu, langu, la kibantu na la babu yao pia.Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Na yupo mmoja namfahamu ana watoto 6 wote amewapa majina ya kibantu. Na sio mzee ila bado ni wa makamo tu.Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Chupi na takoMuafrika na tamaduni za kigeni ni pipa na mfuniko
Yani hata hayo ya nje , ukimuita "Samsoni" hataki anataka "Samson" hali kadhalika "Saidi" hataki anataka "Said"Majina ya kigeni ni utumwa, ushamba, ulimbukeni, ujinga na kudhani ndiyo ustaarabu. Hakuna kitu nakichukia kama majina ya nje. Mtu analazimisha kubana pua anapomwita jina la weupe, wakati wao wanatuona nyani, takataka tu. Ningekuwa na uwezo kuhusu majina, ningepiga marufuku mtu kuita jina la weupe, bila kujali dini. Dini mtu ajiamulie lakini sio jina. Mimi nina watoto 2 wana majina ya kibantu, langu, la kibantu na la babu yao pia.
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Palamagamba John Aidani Mwaluko Kabudi.Dini, wanadai majina kama mabula palamagamba ni ya kishetani🤔
Acha uongo,wewe SouthgateMajina yetu na ya kizungu hayana tofauti mbona. Tatizo ni lugha ndio imetofautisha . Ni kama vile ukute makande pale kempisk. Utakuta jina utafikir anakuuzia mbingu kumbe makande.
Ghati,Wankuru,Robi,Nchagwa,Bhoke,Matinde,Wegesa,Kezia, Wegoro,Nyangi, Wan'genyi n.kHahaha wanasema wakina Marwa, chacha, nyamhanga, waryoba ni majina ya mababu na hao mababu ni mizimu
Emu niambie nini maana ya majina,Trump,Frank,Fredy,William,Paul,Pascal,Charles,Charlie,Zephania,Gerlad,James,Steven,Robert?????Hata Lugha zetu hawazijui
Siku wakianza kutumia Lugha itakuwa rahisi kutumia majina.
Unawezaje kumrithisha mtoto wako kipenzi zawqdi yake ya kwanza kwa kitu usichojua maana yake?
Solution ni simple ni kama ambavyo serikali hufungia mambo ya hovyo katika Jamii.unapiga marufuku watu kutumia majina ya wazungu na waarabu.Swali zuri, embu tupe solutions?
Ni ngumu , nyaraka nyingi za serikali zipo kwa kizungu, ndo waje walazimishe watu watumie majina ya kiswahiliSolution ni simple ni kama ambavyo serikali hufungia mambo ya hovyo katika Jamii.unapiga marufuku watu kutumia majina ya wazungu na waarabu.
Mtoto akizaliwa tu aandikishwe kwa majina ya kiafrika, na ndio yatumike ka.a Officials names.
Si ndioSio uchagani, uchagani surnames haziwezi kupotea maisha!