Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Na kanisa lina operate kulingana na utamaduni wa sehemu husika
Kwa nchi ambayo wananchi wake wanajali tamaduni zao hawana hata haja ya kubadili majina ili kuwa wakristo
Hata msikiti haukulazimishi kubadili jina. Shida ni sisi wenyewe waumini mkuu
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Majina ya kigeni ni utumwa, ushamba, ulimbukeni, ujinga na kudhani ndiyo ustaarabu. Hakuna kitu nakichukia kama majina ya nje. Mtu analazimisha kubana pua anapomwita jina la weupe, wakati wao wanatuona nyani, takataka tu. Ningekuwa na uwezo kuhusu majina, ningepiga marufuku mtu kuita jina la weupe, bila kujali dini. Dini mtu ajiamulie lakini sio jina. Mimi nina watoto 2 wana majina ya kibantu, langu, la kibantu na la babu yao pia.
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Na yupo mmoja namfahamu ana watoto 6 wote amewapa majina ya kibantu. Na sio mzee ila bado ni wa makamo tu.
 
Majina ya kigeni ni utumwa, ushamba, ulimbukeni, ujinga na kudhani ndiyo ustaarabu. Hakuna kitu nakichukia kama majina ya nje. Mtu analazimisha kubana pua anapomwita jina la weupe, wakati wao wanatuona nyani, takataka tu. Ningekuwa na uwezo kuhusu majina, ningepiga marufuku mtu kuita jina la weupe, bila kujali dini. Dini mtu ajiamulie lakini sio jina. Mimi nina watoto 2 wana majina ya kibantu, langu, la kibantu na la babu yao pia.
Yani hata hayo ya nje , ukimuita "Samsoni" hataki anataka "Samson" hali kadhalika "Saidi" hataki anataka "Said"

Hili jambo tumeshsfeli
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?

Madhara makubwa yameonekana kwenye maeneo ambayo desturi za waarabu (wengine huita dini ya kiislamu) imeenea. Kwenye maeneo hayo siyo ajabu mtu akaitwa ally rajab Abdulaziz. Majina yote matatu ni ya kiarabu. Na hata kusalimiana kwao wanasalimiana kwa lugha ya waarabu.
 
Hata Lugha zetu hawazijui

Siku wakianza kutumia Lugha itakuwa rahisi kutumia majina.

Unawezaje kumrithisha mtoto wako kipenzi zawqdi yake ya kwanza kwa kitu usichojua maana yake?
Emu niambie nini maana ya majina,Trump,Frank,Fredy,William,Paul,Pascal,Charles,Charlie,Zephania,Gerlad,James,Steven,Robert?????
 
Swali zuri, embu tupe solutions?
Solution ni simple ni kama ambavyo serikali hufungia mambo ya hovyo katika Jamii.unapiga marufuku watu kutumia majina ya wazungu na waarabu.
Mtoto akizaliwa tu aandikishwe kwa majina ya kiafrika, na ndio yatumike ka.a Officials names.
 
Solution ni simple ni kama ambavyo serikali hufungia mambo ya hovyo katika Jamii.unapiga marufuku watu kutumia majina ya wazungu na waarabu.
Mtoto akizaliwa tu aandikishwe kwa majina ya kiafrika, na ndio yatumike ka.a Officials names.
Ni ngumu , nyaraka nyingi za serikali zipo kwa kizungu, ndo waje walazimishe watu watumie majina ya kiswahili
 
Back
Top Bottom