Kanisa katoliki wanaongoza kukataza majina ya kiafrika au ya kiswahili.Dini, wanadai majina kama mabula palamagamba ni ya kishetani🤔
Bado, sioni sababu ya kutumia majina ya kizungu hata kama yana maana nzuri. Weusi pia tuna majina yenye maana nzuri.Kwanza nianze mimi kujilaumu kwa kutumia ID ya kizungu ya Anonymous Caller.
Naombeni msamaa.
Kwa mapungufu haya nimepoteza sifa ya kulalamika..ila naunga mkono hoja.
Naomba nishauri kwamba kama tumefeli kuacha kutumia majina ya kizungu basi tutumie majina ya nje yenye maana inayoeleweka.
Mfano wenzetu Wa-zimbabwe hutumia majina haya;
Suceess, Method, Talent, ocean, Future, Prince, Perfect, wisdom, Gift
Stone si ni Jiwe? Unamkumbuka Mwamba?Imajin mtu anaitwa Stone na ana Mafanikio hatari kulinganisha na Isakwisa mchonga mianzi kule ileje.
Kuna Padri mmoja aliishi zambia akaniambia kule mtu anakuja kumbatiza mtoto amempa jina la Chikwende au chimala, ukimkatalia anachomoka na unampoteza muumini ivi ivi, so chagua mwenyewe.Kanisa katoliki wanaongoza kukataza majina ya kiafrika au ya kiswahili.
Hii hutegemea na kasisi anaye batiza, wengine hawana shida.
Jamaa yangu mmoja ana majina ya kizungu. Lakini wanae wote katwanga ya kibantu na ana watoto 7. Mabadiliko lazima yafanyike.Una bahati nzuri sana mkuu.
Wengine tulipewa majina ya kizungu na wazazi, tumesomea na kuyatumia mpaka tunajitambua na kuanza kuchanganua mambo kwa mapana zaidi.
Sasa tupo katika mchakato wa kufanya marekebisho.
Huo ndio uanaume na wanawake jasiri wa kiafrica. Dini sawa ila usilazimishe niiache lugha na majina yangu eti ya kishetani. Kwani wazungu hawana mashetani ?Kuna Padri mmoja aliishi zambia akaniambia kule mtu anakuja kumbatiza mtoto amempa jina la Chikwende au chimala, ukimkatalia anachomoka na unampoteza muumini ivi ivi, so chagua mwenyewe.
Acha ushamba maisha ya black Americans ni mazuri kuliko Yako usitake kudanganya watu hapaHalafu kuna sumu imepandikizwa kwa wazazi hasa wakike wanadai majina ya babu zetu ya akina mabula, Kitundu, Mwakipesile, Mshana, Mtemi, Shirima nk yamebeba mikosi wao huwapa watoto majina ya kwenye muvi sio waislam sio wakristo ukifuatilia sana unakuta chanzo ni baadhi ya viongozi wa dini ndio huwashawishi kukataa majina ya mababu zetu. Ni dhambi kubwa sana binadamu kupoteza identy yako, binafsi mimi sijui kuzungumza lugha ya asili yangu kutokana na mazingira nilikulia ila nilipenda sana kizazi changu kije kifahamu kwa kuoa mwanamke mwenye kufahamu kuzungumza kabila langu ila hili nalo lilishindikana ila kuhusu jina hapo nimepadhibiti watoto wangu pamoja na majina ya kibiblia lakini jina la ukoo yaani la tatu ni lazima.
Tatizo la kupoteza identity na miiko ni baya sana inafikia wakati binadamu unaweza kuishi kama mnyama, fuatilia maisha ya black Amerca wengi ndio utatambua hilo.
Waaftika tuna mambo ya kijinga sana. Tunapenda kushobokea vitu vya kixunguNdugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Hivi mbona black Americans wanaishi vizuri kuliko wewe una maisha magumu bongoJamii iliyopoteza asili ni jamii hatari sana, inajiendea tu kama wanyama. Mfano bora ni Black Americans. Jasiri haachi asili, akiacha hana akili.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Ubantu utaisha, lakini Unailoti hautaisha nakuambia, kuanzia lifestyle kama mavazi na hata LughaNdugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Padri alikuwa analikataa jina la mtoto wangu, nikatoa amri hawataki jina hilo basi asibatizwe.Kuna Padri mmoja aliishi zambia akaniambia kule mtu anakuja kumbatiza mtoto amempa jina la Chikwende au chimala, ukimkatalia anachomoka na unampoteza muumini ivi ivi, so chagua mwenyewe.
MAASAI MENNigeria ndo wana utamaduni bora majina:
Abba
Abike
Abiola
Ade
Adekunle
Aina
Ariyo
Ayinde
Yaani kila jina lina asili yake ❤️
Kumbe mpka wanakataza kabisa?Kanisa katoliki wanaongoza kukataza majina ya kiafrika au ya kiswahili.
Hii hutegemea na kasisi anaye batiza, wengine hawana shida.
Saa hizi maasai wanaitwa Yohana.Ubantu utaisha, lakini Unailoti hautaisha nakuambia, kuanzia lifestyle kama mavazi na hata Lugha
Kwa Mfano mimi naitwa
" LOBULU LASARUNYE LOPURUKWA LAIZER" kutoka Longonot'
Wewe ni nyani halali Yako kuita wanao hayo majina ya kibantu sababu wanao nao. Ni nyaniMajina ya kigeni ni utumwa, ushamba, ulimbukeni, ujinga na kudhani ndiyo ustaarabu. Hakuna kitu nakichukia kama majina ya nje. Mtu analazimisha kubana pua anapomwita jina la weupe, wakati wao wanatuona nyani, takataka tu. Ningekuwa na uwezo kuhusu majina, ningepiga marufuku mtu kuita jina la weupe, bila kujali dini. Dini mtu ajiamulie lakini sio jina. Mimi nina watoto 2 wana majina ya kibantu, langu, la kibantu na la babu yao pia.
Hela gani bila kulinda usalama wa taifa sindiyo yanatukuta kama haya ya Raia feki kukamata serikali matokeo yake ni mali za nchi kuuzwa na kusombwa kupelekwa nje ya nchi ....raia feki wengi hawawezi kutumia majina yao ya ukoo maana wanaweza kutambulika na wanaogopa kutumia ya koo za tz maana hawajui asili ya hizo koo wengi wanamajina ya kizungu au kiarabu tupuWe ndio mpumbavu unaavha kutafuta hela unaendekeza mila huku ni fukara hiyo ni akili au matope mijitu mieusi kweli akili aina
Wewe kweli hujielewi kwahiyo ukitumia jina la masumbuko au shida ndio nchi haiibiwi aisee kweli nyani akili yake ni ya kinyani wewe hata utumie jina gani mzungu akitaka Mali anabeba mchana kweupe na huna la kufanyaHela gani bila kulinda usalama wa taifa sindiyo yanatukuta kama haya ya Raia feki kukamata serikali matokeo yake ni mali za nchi kuuzwa na kusombwa kupelekwa nje ya nchi ....raia feki wengi hawawezi kutumia majina yao ya ukoo maana wanaweza kutambulika na wanaogopa kutumia ya koo za tz maana hawajui asili ya hizo koo wengi wanamajina ya kizungu au kiarabu tupu