Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Majina ya Kiafrika mbioni kutoweka

Kwanza nianze mimi kujilaumu kwa kutumia ID ya kizungu ya Anonymous Caller.

Naombeni msamaa.
Kwa mapungufu haya nimepoteza sifa ya kulalamika..ila naunga mkono hoja.

Naomba nishauri kwamba kama tumefeli kuacha kutumia majina ya kizungu basi tutumie majina ya nje yenye maana inayoeleweka.

Mfano wenzetu Wa-zimbabwe hutumia majina haya;

Suceess, Method, Talent, ocean, Future, Prince, Perfect, wisdom, Gift
Bado, sioni sababu ya kutumia majina ya kizungu hata kama yana maana nzuri. Weusi pia tuna majina yenye maana nzuri.
Mfano, wagogo tunaposema Mwendwa, maana yake ni mpemdwa, Manvula, ni aliyezaliwa wakati wa mvua. Akili ya kawaida tu inakuambia sisi bado ni watumwa tuliorogwa na kubadilishwa akili na waarabu, wazungu kwa kisingizio cha dini.
 
Kanisa katoliki wanaongoza kukataza majina ya kiafrika au ya kiswahili.
Hii hutegemea na kasisi anaye batiza, wengine hawana shida.
Kuna Padri mmoja aliishi zambia akaniambia kule mtu anakuja kumbatiza mtoto amempa jina la Chikwende au chimala, ukimkatalia anachomoka na unampoteza muumini ivi ivi, so chagua mwenyewe.
 
Una bahati nzuri sana mkuu.

Wengine tulipewa majina ya kizungu na wazazi, tumesomea na kuyatumia mpaka tunajitambua na kuanza kuchanganua mambo kwa mapana zaidi.
Sasa tupo katika mchakato wa kufanya marekebisho.
Jamaa yangu mmoja ana majina ya kizungu. Lakini wanae wote katwanga ya kibantu na ana watoto 7. Mabadiliko lazima yafanyike.
 
Kuna Padri mmoja aliishi zambia akaniambia kule mtu anakuja kumbatiza mtoto amempa jina la Chikwende au chimala, ukimkatalia anachomoka na unampoteza muumini ivi ivi, so chagua mwenyewe.
Huo ndio uanaume na wanawake jasiri wa kiafrica. Dini sawa ila usilazimishe niiache lugha na majina yangu eti ya kishetani. Kwani wazungu hawana mashetani ?
 
Halafu kuna sumu imepandikizwa kwa wazazi hasa wakike wanadai majina ya babu zetu ya akina mabula, Kitundu, Mwakipesile, Mshana, Mtemi, Shirima nk yamebeba mikosi wao huwapa watoto majina ya kwenye muvi sio waislam sio wakristo ukifuatilia sana unakuta chanzo ni baadhi ya viongozi wa dini ndio huwashawishi kukataa majina ya mababu zetu. Ni dhambi kubwa sana binadamu kupoteza identy yako, binafsi mimi sijui kuzungumza lugha ya asili yangu kutokana na mazingira nilikulia ila nilipenda sana kizazi changu kije kifahamu kwa kuoa mwanamke mwenye kufahamu kuzungumza kabila langu ila hili nalo lilishindikana ila kuhusu jina hapo nimepadhibiti watoto wangu pamoja na majina ya kibiblia lakini jina la ukoo yaani la tatu ni lazima.
Tatizo la kupoteza identity na miiko ni baya sana inafikia wakati binadamu unaweza kuishi kama mnyama, fuatilia maisha ya black Amerca wengi ndio utatambua hilo.
Acha ushamba maisha ya black Americans ni mazuri kuliko Yako usitake kudanganya watu hapa
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Waaftika tuna mambo ya kijinga sana. Tunapenda kushobokea vitu vya kixungu
 
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Ubantu utaisha, lakini Unailoti hautaisha nakuambia, kuanzia lifestyle kama mavazi na hata Lugha

Kwa Mfano mimi naitwa

" LOBULU LASARUNYE LOPURUKWA LAIZER" kutoka Longonot'
Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.

Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.

Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.

Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.

Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.

Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.

Wao hawana huu ujinga.

Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.

Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.

Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
 
Kuna Padri mmoja aliishi zambia akaniambia kule mtu anakuja kumbatiza mtoto amempa jina la Chikwende au chimala, ukimkatalia anachomoka na unampoteza muumini ivi ivi, so chagua mwenyewe.
Padri alikuwa analikataa jina la mtoto wangu, nikatoa amri hawataki jina hilo basi asibatizwe.
Jina limesha andikwa kwenye cheti Cha kuzaliwa yeye analazimisha tumpe kingine mwisho alikubali kumbatiza kwa jina nililompa mimi.
Hiyo jijini Dar nadhani ingekuwa vijijini wazazi wangeshindwa.
 
Nigeria ndo wana utamaduni bora majina:
Abba
Abike
Abiola
Ade
Adekunle
Aina
Ariyo
Ayinde
Yaani kila jina lina asili yake ❤️
MAASAI MEN

Losaru
Lobulu
Logotu
Longishu
Loo Mbesai
Losujaki
Lomayan
Loserian
Losyeku
Naomi

MAASAI WOMEN

Nossim
Nana
Nasyeku
Naserian
Namayan
Nongishu
Noo Mbesai
Naisujak
Nabulu
Naomi
 
Ubantu utaisha, lakini Unailoti hautaisha nakuambia, kuanzia lifestyle kama mavazi na hata Lugha

Kwa Mfano mimi naitwa

" LOBULU LASARUNYE LOPURUKWA LAIZER" kutoka Longonot'
Saa hizi maasai wanaitwa Yohana.
Wanavaa nguo za kawaida.
Mdogo mdogo wanabadilika na kuacha asili.
 
Acha ushamba jina ni jina tu hapa duniani kwahiyo ukijiita Kombat au masumbuko ndio utapata pesa au jina lolote ni sawa ilimradi sio tusi
 
Majina ya kigeni ni utumwa, ushamba, ulimbukeni, ujinga na kudhani ndiyo ustaarabu. Hakuna kitu nakichukia kama majina ya nje. Mtu analazimisha kubana pua anapomwita jina la weupe, wakati wao wanatuona nyani, takataka tu. Ningekuwa na uwezo kuhusu majina, ningepiga marufuku mtu kuita jina la weupe, bila kujali dini. Dini mtu ajiamulie lakini sio jina. Mimi nina watoto 2 wana majina ya kibantu, langu, la kibantu na la babu yao pia.
Wewe ni nyani halali Yako kuita wanao hayo majina ya kibantu sababu wanao nao. Ni nyani
 
We ndio mpumbavu unaavha kutafuta hela unaendekeza mila huku ni fukara hiyo ni akili au matope mijitu mieusi kweli akili aina
Hela gani bila kulinda usalama wa taifa sindiyo yanatukuta kama haya ya Raia feki kukamata serikali matokeo yake ni mali za nchi kuuzwa na kusombwa kupelekwa nje ya nchi ....raia feki wengi hawawezi kutumia majina yao ya ukoo maana wanaweza kutambulika na wanaogopa kutumia ya koo za tz maana hawajui asili ya hizo koo wengi wanamajina ya kizungu au kiarabu tupu
 
Hela gani bila kulinda usalama wa taifa sindiyo yanatukuta kama haya ya Raia feki kukamata serikali matokeo yake ni mali za nchi kuuzwa na kusombwa kupelekwa nje ya nchi ....raia feki wengi hawawezi kutumia majina yao ya ukoo maana wanaweza kutambulika na wanaogopa kutumia ya koo za tz maana hawajui asili ya hizo koo wengi wanamajina ya kizungu au kiarabu tupu
Wewe kweli hujielewi kwahiyo ukitumia jina la masumbuko au shida ndio nchi haiibiwi aisee kweli nyani akili yake ni ya kinyani wewe hata utumie jina gani mzungu akitaka Mali anabeba mchana kweupe na huna la kufanya
 
Back
Top Bottom