Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Huyo Mugishagwe wa atikin/H-H company hapo chole road masaki ?Aisee kuna Eng mmoja namkubali sana anaitwa Mugishagwe ni mtu smart sana naomba kujua maana yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mugishagwe wa atikin/H-H company hapo chole road masaki ?Aisee kuna Eng mmoja namkubali sana anaitwa Mugishagwe ni mtu smart sana naomba kujua maana yake
Kajumuro???Hili si jina ila ni mikogo ambayo wanaitumia kumaanisha "nimesoma" yaani yeye kaenda shule.
Asante sana. Mimi ni Mhaya ile nimefurahia kujua maana ya majina ya Kinyaki na nomenclature yenu. Kuna dada mkorofi alikuwa anaitwa Lingasiku. Je maana yake ni nini?That's pretty cool, the pumpkin in the old homestead shall not be uprooted![]()
![]()
![]()
Huku kwetu Cuba
Lugano=upendo,Gwakisa=mwenyewe huruma,Lusekelo=Furaha,Ndimyake=Niko kwake,Gwamaka= Mwenye nguvu, Atupele= Ametupa,Ambwene=Ameniona, Atuganile=Anatupenda,na ukiona mnyakyusa anaitwa mwakyusa,jua ni mtoto wa kiume wa mama anayeitwa kyusa, where by mwa= son of, mwakyusa means son of kyusa, Mwakalukwa means son of kalukwa, that is NOMENCLATURE YA KINYAKYUSA!
LET US go back to the roots.
Yule Mzee kuna wakati alitaka kwenda front mwenyewe bila mawakili wake.Kumbe rugemalila lina maana sahihi
uKABILA NI NINI?Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Jielimishe kidogo. Kuna ukabila gani hapo?Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Hajui chochote huyo, amekariri 'istilahi' pasipo kujua maana na mawanda yake.uKABILA NI NINI?
Rudi darasa la pili ujifunze kuandika vizuri.Acheni ukabira
Mutayoba ?1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏