Majina ya Kihaya na maana zake

Majina ya Kihaya na maana zake

1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏
Asante sana nilikuwa natafuta jina la mtoto wa kiume imenisaidia sana. Barikiwa
 
1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏
Aisee kuna Eng mmoja namkubali sana anaitwa Mugishagwe ni mtu smart sana naomba kujua maana yake
 
Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Aisee we jamaa ni bure kabisa, sasa majina Kama haya na ukabila wapi na wapi? Wewe huna Kabila au? Tanzania tuna mama ila hatuna ukabila Acha ushamba. Imenisaidia mimi nilikuwa natafuta jina la mtoto wa kiume na nimelipata we Nenda katumie ya kidhungu hakuna anayekukataza. Kwetu wengine imetusaidia sana. Text yako ndo imejaa ukabila ujirudi ndugu
 
Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Identity ya makabila is here to stay. Wewe utakuwa na akili uchwara. Utaifa does not mean kuwa identity ya makabila ifutike. NEVER! Tutakuwa na Taifa letu Tanzania moja na wamoja, lkn mabila yetu yako pale pale with ideal identity

CCM utawajua, ujinga aliotulisha Nyerere kuwa makabila ya nini...yana maana sana as long as Tanzania ni moja bila influence ya makabila. Nikienda uhayani , pale ni kihaya nitakitukuza like wise Mkuyrya, msukuma, mmakonde, myao etc etc
 
Mutahangarwa- musiwe na wasiwasi

Byonabusha.- all is nothing except God

Ndibalema - Watishandana Ila ntawashinda.

Kabyemela-

Rwezaula-

Rwegasira-

Rukiza-

Kalumuna -

Bashungwa -
 
That's pretty cool, the pumpkin in the old homestead shall not be uprooted [emoji137][emoji137][emoji137]
Huku kwetu Cuba
Lugano=upendo,Gwakisa=mwenyewe huruma,Lusekelo=Furaha,Ndimyake=Niko kwake,Gwamaka= Mwenye nguvu, Atupele= Ametupa,Ambwene=Ameniona, Atuganile=Anatupenda,na ukiona mnyakyusa anaitwa mwakyusa,jua ni mtoto wa kiume wa mama anayeitwa kyusa, where by mwa= son of, mwakyusa means son of kyusa, Mwakalukwa means son of kalukwa, that is NOMENCLATURE YA KINYAKYUSA!
LET US go back to the roots.
Atupakisye je?
 
Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo sana.

Kiini cha mada ni kutoa elimu na kuongeza ufahamu/uelewa kuhusu majina ya kihaya ambayo unaweza kukutana nayo au kuyasikia kwa wale wasioyajua.

Hayo ya ukabila ni yako.
 
Hii iko na maana gani maana mda wenyewe Sina wa kuweka kichwanaai Wacha tuishi umo
 
Mutahangarwa- musiwe na wasiwasi

Byonabusha.- all is nothing except God

Ndibalema - Watishandana Ila ntawashinda.

Kabyemela-

Rwezaula-

Rwegasira-

Rukiza-

Kalumuna -

Bashungwa -
Mtani nitafutie maana ya majina haya:
Bushaijabwe, Rutashubaenyuma, Bugaisa,
 
That's pretty cool, the pumpkin in the old homestead shall not be uprooted [emoji137][emoji137][emoji137]
Huku kwetu Cuba
Lugano=upendo,Gwakisa=mwenyewe huruma,Lusekelo=Furaha,Ndimyake=Niko kwake,Gwamaka= Mwenye nguvu, Atupele= Ametupa,Ambwene=Ameniona, Atuganile=Anatupenda,na ukiona mnyakyusa anaitwa mwakyusa,jua ni mtoto wa kiume wa mama anayeitwa kyusa, where by mwa= son of, mwakyusa means son of kyusa, Mwakalukwa means son of kalukwa, that is NOMENCLATURE YA KINYAKYUSA!
LET US go back to the roots.
Lugano sio kinyakyusa
 
1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏
Rugaihuruza?
 
Back
Top Bottom