Majina ya Kihaya na maana zake

Majina ya Kihaya na maana zake

1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏

Katerero ni nn?
 
Napenda majina ya kikabila hasa yenye maana ya ki Mungu
Yongeza ni kama ifuatavyo kwa wahaya
Asimwe-ashukuriwe Mungu
Alinda-Mungu anatulinda
Ajuna-mwokozi
Asingile-Ameshinda/ni mshindi
Amanya-Anajua
Atwine-Mungu yuko nasi
Mulokozi-Mwokozi
Atugonza-anatupenda
Mubezi-Mpaji/msaada
Kemilembe-penye amani
Mugisha-baraka
Mujuni-mwokozi/mkombozi
Katushabe-tumuombe Mungu
kokunura na kokugonza maana yake nin
 
Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Ukabila upi?
 
Nyamizi..first daughter
Kasinde,kashinde -alitanguliza miguu..
Mwamvula... alizaliwa kipindi cha mvua..
Nyanzige... kipindi cha nzige..
Mkiwa, aliyezaliwa kipindi cha huzuni.haya tabora ndio kwao
 
Kumbe Jasiri muongoza njia ndipo alipopata jina hilo.
Rugemalira - anayetimiza mambo yake mwenyewe Kitenzi cha hilo neno ni kumaliza, mambo yake anamaliza yeye mwenyewe.
Mutahaba - asiyekosea njia.

Hakuna direct translation na Kiswahili kina maneno machache
 
1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno[emoji120]
Je Mwesigwa maana yake nini
 
Back
Top Bottom