dongo jeusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 248
- 210
Napenda niitwe Rugemarila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Ruge😁😁Napenda niitwe Rugemarila
Yeah sahihi kabisa😁😁 kambio kakimbiajiKuna dogo alizaliwa mtaani huku sasa bimkubwa wake alijifungulia home tu fasta hata kabla hawajampeleka hospitali dogo wanamuita Kairuki wakasema maana yake aliezaliwa haraka. Wajuzi mtusaidie
Hahahaha...mkuu upo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maji original sio fake kama haya ya dukani[emoji7] [emoji28] Maji ya uhai au..
Yaan mboomtoto wa kiume?[emoji1787][emoji23][emoji23]Umesahau na Dickson [emoji23][emoji23]
Dick = Penis
Son = Mtoto (M)
Proud ofJe Mwesigwa maana yake nini
Mwesigwa - Wa kujivunia (probably Mungu)Je Mwesigwa maana yake nini
Chai1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏
NAMBA 1 NA NAMBA 21,zimeneendana vzr sn kwa muhusika1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe.
2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu.
3.Tibaigana_ Watu hatulingani.
4.Tibaijuka_ Hawakumbuki.
5.Ruyemamu _ kujijari|
6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara.
7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha.
8.Rweyendera_ kujipenderea
9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)
10.Mtaremwa_ Mshindi |ashindwagi /kutochoka
11.Komugisha_(kwa neema |baraka|zawadi)
12.Kokwija_( kuja/ujio)
13.Kalokora_(uokofu/okoa/saidia)
14.Kaijuka_(kumbuka/bila kusahau)
15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
16.Rweumbiza_( kujitetea)
17.Kokuabwa _(kupewa/kubarikiwa)
18.Karungi_(uzuri/mwonekano)
19.Kokushubila(Tumaini.)
20. Kokwenda.(kupenda/
21.Mtahaba (Mwongozaji) mwelekezaji/usikosee
22. Rwechungura (kujikomboa)
23.
...... imetayarishwa na Hemedyjrjunior a.k.a (kimodoMsafi) TUKUTANE kwa darasa lijalo
Mwakora Mno🙏
Na ikiwa na Washaija mbele yake15.Bishanga_(ukomavu/ msimamo
Tibagilwage,Mbona sijaona majina ya akina Kaijage, Mwijage, Lwaitama, Rugambwa, Rweyongeza!!
Momumo!That's pretty cool, the pumpkin in the old homestead shall not be uprooted [emoji137][emoji137][emoji137]
Huku kwetu Cuba
Lugano=upendo,Gwakisa=mwenyewe huruma,Lusekelo=Furaha,Ndimyake=Niko kwake,Gwamaka= Mwenye nguvu, Atupele= Ametupa,Ambwene=Ameniona, Atuganile=Anatupenda,na ukiona mnyakyusa anaitwa mwakyusa,jua ni mtoto wa kiume wa mama anayeitwa kyusa, where by mwa= son of, mwakyusa means son of kyusa, Mwakalukwa means son of kalukwa, that is NOMENCLATURE YA KINYAKYUSA!
LET US go back to the roots.
Wew na waliolike mko brainwashed....sasa mtu kutaja majina ya kabila lake inakuaje ukabila...Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Atafanikiwa kama ukoo wa kairuki unaomiliki mahospitali, vyuo, viwanda nkKuna dogo alizaliwa mtaani huku sasa bimkubwa wake alijifungulia home tu fasta hata kabla hawajampeleka hospitali dogo wanamuita Kairuki wakasema maana yake aliezaliwa haraka. Wajuzi mtusaidie
Chimogomogo, Chimomogoro, Chikaka, Chikondo, Chikuku, Chitambi, Chikanga, Chiyeye etcUkabila upi?