Mark Msue
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,293
- 12,246
Wachagga wa wapi hao??KILIMA (MLIMA)NJARO UNGU)yaani "mlima wa mungu"maana wachaga walioishi pembezoni mwa mlima huu,walikuwa wanauabudu wakiamini kuwa mungu yuko pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachagga wa wapi hao??KILIMA (MLIMA)NJARO UNGU)yaani "mlima wa mungu"maana wachaga walioishi pembezoni mwa mlima huu,walikuwa wanauabudu wakiamini kuwa mungu yuko pale.
Walijimegea pa kutoshaNa hii ilitokana na Mmishonari wa Kibenedikitini aliyeomba eneo la kuanzisha misheni. Alipoomba kwa Chifu akapewa eneo la Mbali. Msituni na pasipo na makazi ya watu. Alipopewa akauliza; Mpaka wa eneo ulilonipa ni upi? Akaambiwa: Pale macho yako yatakapoishia kuona...Kusema kweli: WALIJIMEGEA PA KUTOSHA!
Hapana bariadi imetokana na neno baryadi, maana yake wanaokula usiku watu Wa kale pale walikuwa wanakula usiku ndo wakaitwa baryadi na ikawa bariadi.Dodoma - Idodoma yaani tetemeko
Bariadi- Burying yard Hapo wakoloni walifukia Mali nyingi sana
Mimi niko moshi najua kuna Kiboriloni na chekereniMoshi hakuna sehemu inaitwa Kibororoni, wala Chekeleni. Pimbi!
Tanzania ipo mikoa, wilaya na sehemu tofauti tofauti na majina yake. Lakini huwa najiuliza haya majina yametokana na nini au ni kwa sababu gani waliita hivyo?
Kwa mfano Msasani nasikia ilitokana na mmakonde flani kushindwa kutamka Musa Hassan na kwa sababu walikuwa wanakaa wamakonde wengi basi wakaamua kupaita Musa-sani ile ' Ha' walishindwa kutamka na huyu mtu alikuwa maarufu. Hapo ndo msasani ikaanza kutumika.
Kilimanjaro-hii ninkutokana na mlima ulipo. Nafahamu Kilima ni Mlima, Sasa Njaro sijui yatokea wapi...
Je wewe wajua jina gani na historia yake!!! Twende pamoja sasa tueleweshane tuwe na kumbukumbu sahihi...
Sio kibo road ni sehemu ambapo unaweza ona kilelele kimoja cha kibo so pakaitw kibo alone wenyejk wakashindwa tamka ndio wakapiga pask ndefu na kuwa kibororoni.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] asanteMeli= Mails ( barua)
Enzi ya mkoloni pale Posta ya Zamani yalikuwa makao ya jeshi kwa ajili ya askari kwenda Burma.
Wakoloni wakipokea barua (mails) toka ulaya.
Na zililetwa na "Meli". Walipokuwa wakiona meli inatia nanga walikuwa wakishout"mails,mails, mails".
Sasa wamatumbi wakajua vile vyombo vilivyokuwa vinaelea majini baharini ni MELI.
Ndio asili ya neno Meli.
Aiseee ushirikina hadi kwenye majinaSUMBAWANGA- Tupa Uchawi!
Kisukumahiyo baryadi kabila gani