Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matombo maana yake maziwa (breasts). Wanadai kuna mwamba wenye sura kama ya mwanamke mwenye maziwa.hahaahaaa ngoja waje wajuzi tutajua tu.
Haujatulia 'Jamaa Mbishi' hahahahaMakalio. Kuna changu wa bongo muvi alikuwa anajitembeza mbele ya watalii akitikisa matako yake. Wale wazungu walivyomuona wakasema kwa sauti 'Carry on," yaani aongeze spidi ya kutikisa tako, ndipo neno la kalio likaanzishwa.
Kahama mbele kagongwa nyumana Kahama mkoani shinyanga anaejua
Ndio Mto_Ngono ni mimea ile ya kutengenezea ukili.Mikoche ni mimea??
kwani serengeti wanakaa wamasaiSERENGETI-limetokana na neno la kimasai "siringeti" likimaanisha eneo tambalale ambalo ukiliangalia huoni mwisho wake.
Na kule Salasala karibu na Green Acres kilikuwa na nini?Mabibo External. Mabibo ni matunda yatokanayo na mti wa mkorosho.
Hilo eneo lilikuwa linamikorosho inayotoa matunda(MABIBO).
Enzi hizo wakati wa vita vya ukombozi wa ( Msumbiji, Angola, Zimbabwe nk)kulikuwa na kituo cha radio hapo kwa ajili ya kuhabarisha mwenendo mzima wa mapambano na harakati zs ukombozi. Kituo hicho cha radio kilikuwa kinaitwa EXTERNAL SERVICE.
Kama tujuavyo, tukabatiza eneo na kupaita MABIBO EXTERNAL!
DODOMA hapo mmmh hayo majiNachangia kama ifuatavyo:
1. Iringa. Asili: LIlinga (yaani ngome ndogo).
2. Ngara. Asili: Mti uloitwa MUNYINYA w'iNGARA,
3. Tabora: Asili; Ntoborwa (yaani chakula kitokanacho na viazi vilivyo katwa na kukaushwa.
4. Dodoma. Asili: IDODOMYA, (yaani Nchi yenye maji, inayodidimia).
5. Mwanza. Asili: mahali alipoishi Mzee (wa Kisukuma aitwaye Ngh'wanza). Kwa sasa ni eneo ilipo shule ya msingi Bugarika.
6. Songea; Jina la Chifu wa Kingoni aiywaye Songea.
7. Makambako: Asili; Neno la Kibena linalomaanisha MAFAHALi (Ng'ombe). Lilitokana na vita vilivyopinanwa kati ya Wasangu na Wabena. walizichapa kwa muda wa wiki moja hivi na hakuna aliyeshinda. walitoshana nguvu kama mafahali.
8. Changanyikeni. (Hii iko karibu na UDSM). Ni mahali palipokuwa PORI (enzi chuo kinaanzishwa). wakaanza kukaa "wasomi wa UD", wakaCHANGANYIKA na Raia.....
9. Dongobesh...Iko mkoani Manyara. Asili (Neno la Kibarabaig linalomaanisha Tembo Mweupe)...
10. Chato....Neno la asili ni UBWATO (Kikerewe/Kizinza) likimaanisha Mtumbwi. wazungu alishindwa litamka Vwema...
Hassan ShekilangoShekilango---Sheikh kilango.
KILIMA (MLIMA)NJARO UNGU)yaani "mlima wa mungu"maana wachaga walioishi pembezoni mwa mlima huu,walikuwa wanauabudu wakiamini kuwa mungu yuko pale.