Majina ya Mikoa, Wilaya, sehemu ndani ya Tanzania pia na maana yake

Walijimegea pa kutosha
 
Meli= Mails ( barua)
Enzi ya mkoloni pale Posta ya Zamani yalikuwa makao ya jeshi kwa ajili ya askari kwenda Burma.
Wakoloni wakipokea barua (mails) toka ulaya.
Na zililetwa na "Meli". Walipokuwa wakiona meli inatia nanga walikuwa wakishout"mails,mails, mails".
Sasa wamatumbi wakajua vile vyombo vilivyokuwa vinaelea majini baharini ni MELI.
Ndio asili ya neno Meli.
 
Dodoma - Idodoma yaani tetemeko

Bariadi- Burying yard Hapo wakoloni walifukia Mali nyingi sana
Hapana bariadi imetokana na neno baryadi, maana yake wanaokula usiku watu Wa kale pale walikuwa wanakula usiku ndo wakaitwa baryadi na ikawa bariadi.
 


kuna mtu aliwahi kuniambia chanzo cha neno KILIMANJARO kuwa wenyeji wa mahala pale hasa vunjo, waliita "kilema kyalo" wakiwa na maana ya "kilima cha Mungu" sasa wazungu walipokuja, wao wakapotosha matamshi ya neno wakanza kuita kilima nnjaroo...Sasa na sisi tukasawazisha tukaanza kusema KILIMANJARO. Niliamini kwa uwepo wa eneo liitwalo KILEMA huko moshi vijijini kilipo chuo cha ualimu MANDAKA
 
Sio kibo road ni sehemu ambapo unaweza ona kilelele kimoja cha kibo so pakaitw kibo alone wenyejk wakashindwa tamka ndio wakapiga pask ndefu na kuwa kibororoni.


kibo alone.......Kibororni
 
Dodoma-limetokana na neno idodomya, maana yake sehemu ambayo tembo alizama, asili ya neno sijapata

Tosamaganga-limetokana na neno la kihehe likiwa na maana ya tupa mawe.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] asante
 
Mabibo External. Mabibo ni matunda yatokanayo na mti wa mkorosho.
Hilo eneo lilikuwa linamikorosho inayotoa matunda(MABIBO).
Enzi hizo wakati wa vita vya ukombozi wa ( Msumbiji, Angola, Zimbabwe nk)kulikuwa na kituo cha radio hapo kwa ajili ya kuhabarisha mwenendo mzima wa mapambano na harakati zs ukombozi. Kituo hicho cha radio kilikuwa kinaitwa EXTERNAL SERVICE.
Kama tujuavyo, tukabatiza eneo na kupaita MABIBO EXTERNAL!
 
Hapana bariadi imetokana na neno baryadi, maana yake wanaokula usiku watu Wa kale pale walikuwa wanakula usiku ndo wakaitwa baryadi na ikawa bariadi.

hiyo baryadi kabila gani
 
Makalio. Kuna changu wa bongo muvi alikuwa anajitembeza mbele ya watalii akitikisa matako yake. Wale wazungu walivyomuona wakasema kwa sauti 'Carry on," yaani aongeze spidi ya kutikisa tako, ndipo neno la kalio likaanzishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…