Majina ya Mikoa, Wilaya, sehemu ndani ya Tanzania pia na maana yake

kweli hapa nikisima cha maarifa , ningeomba anaefahamu maana ya majiya ya mikoa ifuatayo
1. singida
2.katavi
3.kigoma
4.tanga
7.mara
 
Makalio. Kuna changu wa bongo muvi alikuwa anajitembeza mbele ya watalii akitikisa matako yake. Wale wazungu walivyomuona wakasema kwa sauti 'Carry on," yaani aongeze spidi ya kutikisa tako, ndipo neno la kalio likaanzishwa.
Haujatulia 'Jamaa Mbishi' hahahaha
 
Vizuri sana ila naomba unielezee vizuri hapo kwenye neno nyika mana sijaelewa na pia uniambie nchi ya Tanganyika ilichukua jina kutoka mkoa wa Tanga au jina la Ziwa Tanganyika?
 
Na kule Salasala karibu na Green Acres kilikuwa na nini?
 
Tanzania mpaka sahivi tunashindwa ku document,sababu za majina za sehemu kuitwa "kwa jina fulani"
Wasomi wetu mbona mnatufelisha

Mfano Victoria pale lazima kuna sababu yake kuitwa vile...

Ova
 
DODOMA hapo mmmh hayo maji
 
Ilala wakati wanakuja waarabu kutangaza dili walikua wanasema lailaha Illa llah mzalamu akashindwa akawa nasema ilala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…