Majina ya Sensa ya mikoa yote yalipaswa kutoka kwa pamoja na sio hivi kwa mafungu mafungu

Majina ya Sensa ya mikoa yote yalipaswa kutoka kwa pamoja na sio hivi kwa mafungu mafungu

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Kwakweli inashangaza sana

Tangu jana naona majina yanatoka nusu nusu.....mara wilaya hii mara wilaya ile ila cha ajabu mpaka sasa sijaona majina ya walioitwa kwenye usaili kwa mkoa wa Dar

Mwanzoni wa huu mchakato tangu kwenye hatua kutuma maombi niliamini mambo yatakwenda kisasa zaidi kwamba watu wataona majina yao mtandaoni lakini hali imekua tofauti na tulivyotarajia

Sasa kwa hali hii kulikua na haja gani kutumia mfumo wa online, si bora tu wangesema pelekeni maombi yenu kwa watendaji.

Kwa hali hii kuna hatari waombaji wengi watashindwa kuhudhuria usaili kwa kutokujua kama wamekua shortlisted kwaajiri ya interview mana unasaka majina ya wilaya yako lakini huyaoni unaishia kusikia tu ya mikoa mingine
 
Kwakweli inashangaza sana

Tangu jana naona majina yanatoka nusu nusu.....mara wilaya hii mara wilaya ile ila cha ajabu mpaka sasa sijaona majina ya walioitwa kwenye usaili kwa mkoa wa Dar

Mwanzoni wa huu mchakato tangu kwenye hatua kutuma maombi niliamini mambo yatakwenda kisasa zaidi kwamba watu wataona majina yao mtandaoni lakini hali imekua tofauti na tulivyotarajia

Sasa kwa hali hii kulikua na haja gani kutumia mfumo wa online, si bora tu wangesema pelekeni maombi yenu kwa watendaji.

Kwa hali hii kuna hatari waombaji wengi watashindwa kuhudhuria usaili kwa kutokujua kama wamekua shortlisted kwaajiri ya interview mana unasaka majina ya wilaya yako lakini huyaoni unaishia kusikia tu ya mikoa mingine
"Majina yapo kata yako nenda utayaona huko"
 
Mimi nadhani siasa za bongo ni za hovyo sana
 
Kwakweli inashangaza sana

Tangu jana naona majina yanatoka nusu nusu.....mara wilaya hii mara wilaya ile ila cha ajabu mpaka sasa sijaona majina ya walioitwa kwenye usaili kwa mkoa wa Dar

Mwanzoni wa huu mchakato tangu kwenye hatua kutuma maombi niliamini mambo yatakwenda kisasa zaidi kwamba watu wataona majina yao mtandaoni lakini hali imekua tofauti na tulivyotarajia

Sasa kwa hali hii kulikua na haja gani kutumia mfumo wa online, si bora tu wangesema pelekeni maombi yenu kwa watendaji.

Kwa hali hii kuna hatari waombaji wengi watashindwa kuhudhuria usaili kwa kutokujua kama wamekua shortlisted kwaajiri ya interview mana unasaka majina ya wilaya yako lakini huyaoni unaishia kusikia tu ya mikoa mingine
Mbaya zaidi waliye pata kusailiwa wengi n waajiriwa Tena setikalini, Kuna mpaka waratibu achilia mbali waalimu na sector nyingine,

Najiuliza Tanzania nani katuloga,mtaani vijana wengi sana wasiye na kazi waliomba lakini hata majina yao hayakutoka yanatoka wa waajiriwa na mbaya zaidi pale mwishoni Wana comment kabisa"Miajiriwa"maana yake aliye nacho huongezewa zaidi.

Kweli unamchukua mratibu akaandikishe sensa??? Inaumiza Sana coz nilitegemea wasiye na kipato wangeoewa first priority.
Any way ndiyo nchi yetu hii
 
Mbaya zaidi waliye pata kusailiwa wengi n waajiriwa Tena setikalini, Kuna mpaka waratibu achilia mbali waalimu na sector nyingine,

Najiuliza Tanzania nani katuloga,mtaani vijana wengi sana wasiye na kazi waliomba lakini hata majina yao hayakutoka yanatoka wa waajiriwa na mbaya zaidi pale mwishoni Wana comment kabisa"Miajiriwa"maana yake aliye nacho huongezewa zaidi.

Kweli unamchukua mratibu akaandikishe sensa??? Inaumiza Sana coz nilitegemea wasiye na kipato wangeoewa first priority.
Any way ndiyo nchi yetu hii
pole ndugu yangu umeongea kwa uchungu dunian hamna hakii
 
Back
Top Bottom