Majina ya Sensa ya wilaya ya Ubungo yakitoka naomba tuambizane

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Naomba majina ya Sensa kwa wilaya ya ubungo yakitoka tushtuane mana mpaka sasa naona kimya
 
Mashabiki wa Simba SC sio wananchi halali wa Tanzania.

Pole mtani. [emoji23][emoji23]
Prolly uko sahihi kwasababu Yanga mna share same color na chama tawala
 
Sema huu uzi tufanye wa wilaya za dar i.e ubongo,ilala,temeke,kigamboni,kisalawe, kinondon n.k wenye mikeka watume humu jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…