makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Pamoja na mtihani wa mchujo kuwa mkali sana TPA kupitia Utumishi wapo waliopenya vipi walishaitwaga kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha Hatari kwahiyo Pdf hamna tenaIdara nyeti ilipenyeza watu wake bandari ya kigoma walileta pisi 4 za moto balaa
Lazima itoke tu.. mda bado, mwaka huu naona utumishi wamekuwa overwhelmed kabisa.. kazi ni nyingi Toka za mwezi wa nne huko Hadi Leo watu hawajaitwa interview.Ahaha Hatari kwahiyo Pdf hamna tena
Kwakweli Vijana wanahamu ya kujua yaliomo yamo Walitarajia yangekwenda sambamba na za walimu na wale wa afya tamisemiLazima itoke tu.. mda bado, mwaka huu naona utumishi wamekuwa overwhelmed kabisa.. kazi ni nyingi Toka za mwezi wa nne huko Hadi Leo watu hawajaitwa interview.
Basi wale kule wanamambo/kazi nyingi na hata Crew Yao sidhani kama inafanana na tamisemi.. Tamisemi ni kubwa mno hvyo kufanya mchanganuo wa maombi ya kazi ndani ya 1 month is very easyKwakweli Vijana wanahamu ya kujua yaliomo yamo Walitarajia yangekwenda sambamba na za walimu na wale wa afya tamisemi
So ngoma inaeza katika mwezi huu tena patupuBasi wale kule wanamambo/kazi nyingi na hata Crew Yao sidhani kama inafanana na tamisemi.. Tamisemi ni kubwa mno hvyo kufanya mchanganuo wa maombi ya kazi ndani ya 1 month is very easy
Watatoa tu Boss usiwaze, muda utaongeaSo ngoma inaeza katika mwezi huu tena patupu
Okay ngoja wafanye yao tuisubiri pdfWatatoa tu Boss usiwaze, muda utaongea
Kazi gani ilitangazwa mwezi wa nne na hawajaita bado interview ?Lazima itoke tu.. mda bado, mwaka huu naona utumishi wamekuwa overwhelmed kabisa.. kazi ni nyingi Toka za mwezi wa nne huko Hadi Leo watu hawajaitwa interview.
Sekretarieti ya ajira sijui hata kama inafikisha rasilimali-watu ya watu 100 (ukijumlisha walinzi, madereva, makatibu muhtasi, wapishi, n.k).Basi wale kule wanamambo/kazi nyingi na hata Crew Yao sidhani kama inafanana na tamisemi.. Tamisemi ni kubwa mno hvyo kufanya mchanganuo wa maombi ya kazi ndani ya 1 month is very easy
Siana uhakika sana Ila nafikiri ni zile za TRA cluster II.. zile hawaitwa Usaili.. toka mwezi April deadlineKazi gani ilitangazwa mwezi wa nne na hawajaita bado interview ?
Kwa mtindo huo (kasi hiyo) na kwa namna walivyotangaza kazi nyingi hapa katikati, basi kuna watu wataitwa interview Januari mwakani
YaaaapKazi gani ilitangazwa mwezi wa nne na hawajaita bado interview ?
Kwa mtindo huo (kasi hiyo) na kwa namna walivyotangaza kazi nyingi hapa katikati, basi kuna watu wataitwa interview Januari mwakani
Wanasubiri vyuo vifungwe ndio Waite, maana waombaji NI wengi Sana na wao wanategemea kumbi za UDOMKazi gani ilitangazwa mwezi wa nne na hawajaita bado interview ?
Kwa mtindo huo (kasi hiyo) na kwa namna walivyotangaza kazi nyingi hapa katikati, basi kuna watu wataitwa interview Januari mwakani
Aaah okay. This makes sense.Wanasubiri vyuo vifungwe ndio Waite, maana waombaji NI wengi Sana na wao wanategemea kumbi za UDOM
Sasa safari hii vijana Watajua Hawajui.. yaan Huku semeni ya sensa, Huku Usaili unakusubiri Dom.🤪🤪🤪 Ni shida dadeqWanasubiri vyuo vifungwe ndio Waite, maana waombaji NI wengi Sana na wao wanategemea kumbi za UDOM
Inabd utoreke sensa ukafanye usahiliSasa safari hii vijana Watajua Hawajui.. yaan Huku semeni ya sensa, Huku Usaili unakusubiri Dom.[emoji2957][emoji2957][emoji2957] Ni shida dadeq
Ukitoroka sensa unakatwa mazimaInabd utoreke sensa ukafanye usahili
Angaliaeni msije mkazamisha meli uko 😀😀😀Idara nyeti ilipenyeza watu wake bandari ya kigoma walileta pisi 4 za moto balaa
Mmmh kuna kazi za tamisem huu ni mwezi wa pili hawajaita tangu watangazeBasi wale kule wanamambo/kazi nyingi na hata Crew Yao sidhani kama inafanana na tamisemi.. Tamisemi ni kubwa mno hvyo kufanya mchanganuo wa maombi ya kazi ndani ya 1 month is very easy