Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Kuna kazi flani TSN tangu May mwanzoni hadi leoKazi gani ilitangazwa mwezi wa nne na hawajaita bado interview ?
Kwa mtindo huo (kasi hiyo) na kwa namna walivyotangaza kazi nyingi hapa katikati, basi kuna watu wataitwa interview Januari mwakani
Sent using Jamii Forums mobile app