majina ya wasichana

majina ya wasichana

Umeamka mkuu???mi nashangaa jana tulikubaliana liishe,sasa naona kama Bacha,Peral na Husninyo wamelirudisha???sijui walienda shule?

sorry, michelle hii issue imenigusa kidogo,
isitoshe jana sikuwepo kwenye mpambano
 
Ah ah ah my dear mi naitwa PEARL!kuhusu kusoma sina uhakika sana but as long as hapa na type,chenchi naweza kurudisha kwa ukamilifu thats all i need!ooh kumbe ilifungwa eeeeh?amu soreeeeeeeeeeeee
umeamka mkuu???mi nashangaa jana tulikubaliana liishe,sasa naona kama bacha,peral na husninyo wamelirudisha???sijui walienda shule?
 
Umeamka mkuu???mi nashangaa jana tulikubaliana liishe,sasa naona kama Bacha,Peral na Husninyo wamelirudisha???sijui walienda shule?

sijarudisha jamani.
Najaribu kumwelewesha bacha na wenzie kuwa tumemaliza wenyewe bado wanaendelea.
 
Ah ah ah my dear mi naitwa PEARL!kuhusu kusoma sina uhakika sana but as long as hapa na type,chenchi naweza kurudisha kwa ukamilifu thats all i need!ooh kumbe ilifungwa eeeeh?amu soreeeeeeeeeeeee

My dear typing error tu ya jina lako usijali,nafikiri hii thread irudi tu kwakuwa huyu Hashycool anatisha kuwa eti bora imefungwa hapa leo pasingakalika????? Unaonaje Pearl?tumpe nafasi Hashy?
 
yap sijajali my dear,hatuuwi mende kwa nyundo,bora tufungue upya tu
My dear typing error tu ya jina lako usijali,nafikiri hii thread irudi tu kwakuwa huyu Hashycool anatisha kuwa eti bora imefungwa hapa leo pasingakalika????? Unaonaje Pearl?tumpe nafasi Hashy?
 
Oyaaaa Hashyhot yuko wapi????mpambano umeanza tena na tunafungua na Hashycool...................Bacha uwanja ni wako umesema jana hukuwepo,and please do not let us down..............LOL
 
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?

Mfano:

1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI

Kama unayajua mengine unaweza ongezea

sungura tope
kinukta
plug n play
daladala
kibox manyoya
 
Back
Top Bottom