majina ya wasichana

majina ya wasichana

Oyaaaa Hashyhot yuko wapi????mpambano umeanza tena na tunafungua na Hashycool...................Bacha uwanja ni wako umesema jana hukuwepo,and please do not let us down..............LOL

SORRY, Michelle nilikuwa nimesahau hii,

KIPAPATIO,
KISHETI
 
Ulikuwa hujui??? Im watching??

Hata majirani tusisalimie jamani?,sisi kwetu usukumani ukishaamka tu,
unatakiwa usalimie majirani wote ndo uendelee na program zako nyingine za siku hiyo!!!!!!
 
Hata majirani tusisalimie jamani?,sisi kwetu usukumani ukishaamka tu,
unatakiwa usalimie majirani wote ndo uendelee na program zako nyingine za siku hiyo!!!!!!

Kusalimiana?? Mpaka ndani.

Remember Im Watching very very closely!!!

Hata ujitetee vipi mimi na wewe tu kokote uendako.

Ndo makubaliano yetu!!
 
Back
Top Bottom