mi nawashangaa shosti.
Wametushindwa jana wameona wakaitane.
kitu, issue, kamatio, kishikizo, chapio, ngulaga, mtoboro, nguja etc
habari lako sweeetieee...........!!!!!!!!!!!!!
nikikupata milele nitafurahi nitaimba nakupenda hadi mwisho wa uhai
poa darling. Ulikuwa wapi tangu jana hujashiriki mpambano.
hivi hili li sredi bado lipo?
hivi hili li sredi bado lipo?
mkuu klorokwin alishaifunga rasmi. Mi siendelei. Naheshimu maamuzi.
poa darling. Ulikuwa wapi tangu jana hujashiriki mpambano.
Umeamka mkuu???mi nashangaa jana tulikubaliana liishe,sasa naona kama Bacha,Peral na Husninyo wamelirudisha???sijui walienda shule?
umeamka mkuu???mi nashangaa jana tulikubaliana liishe,sasa naona kama bacha,peral na husninyo wamelirudisha???sijui walienda shule?
Kaangalie signature ndo chat rum
Umeamka mkuu???mi nashangaa jana tulikubaliana liishe,sasa naona kama Bacha,Peral na Husninyo wamelirudisha???sijui walienda shule?
nilitingwa kidogo na majukumu ya kitaifa baby!,
si unajua kuwa bado nakudai eeeeeh?
Ah ah ah my dear mi naitwa PEARL!kuhusu kusoma sina uhakika sana but as long as hapa na type,chenchi naweza kurudisha kwa ukamilifu thats all i need!ooh kumbe ilifungwa eeeeh?amu soreeeeeeeeeeeee
My dear typing error tu ya jina lako usijali,nafikiri hii thread irudi tu kwakuwa huyu Hashycool anatisha kuwa eti bora imefungwa hapa leo pasingakalika????? Unaonaje Pearl?tumpe nafasi Hashy?
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?
Mfano:
1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI
Kama unayajua mengine unaweza ongezea