majina ya wasichana

hahah na wakishato kupiga mangure na busaa ahahah
lazima akuchune ngozi hahah ....... Manyara nzima
haiko nyuma kwenye hii idara nasikia ukiwa legelege
kidogo tu inakula kwako hahah

mmmmhh kwa kweli ..
wataalum wa wataalum wa hiyo idara hahaha lol
we wazani wana nywele za naisori bure hahahah lol
 
mpaka njaa imepotea wewe ndio unaonekana bana. hakyanani jana niliota nafanya matusi na gorilla.

hahahahha lol
sema mtu wanggu
mie nilitundika klorokwini nyingi sana jana..
ndo maana nimechelewa hata kuingia huku ..
 
Originally Posted by The Finest

Nikikupata milele nitafurahi nitaimba nakupenda hadi mwisho wa uhai

open relationship..:Cry::Cry::Cry:

Haha ha ha nilikwambia mie tangu mwanzo hajatulia sasa umeona??? Pole uko siko PM akija poa tu
 
hahahah lol
sasa gorilla alikuwa juu au chini??

kalikuwa ni ka gorilla kadogo ndo kwanza kamevunja ungo, nilikuwa nimeanza kukarusha rusha kwa hasira. faza wake akatokea. mwisho wa ndoto.
 
Originally Posted by The Finest

Nikikupata milele nitafurahi nitaimba nakupenda hadi mwisho wa uhai

Haha ha ha nilikwambia mie tangu mwanzo hajatulia sasa umeona??? Pole uko siko PM akija poa tu


miaka yote hii leo ndo ananifanyia hivi ..
iiiiiiiiiiiiiii mie sina hamu...
dunia hii ni chungu sana
mmmmmmm:Cry::Cry::Cry:
 
kalikuwa ni ka gorilla kadogo ndo kwanza kamevunja ungo, nilikuwa nimeanza kukarusha rusha kwa hasira. faza wake akatokea. mwisho wa ndoto.

hahahahahah lol unavituko sana lol
fadha alikuvunja miguu au alikutoa ngeu hahah lol
 
Mabeberu
Jinga
Lofa
Jogoo Hawiki
Kipenseli
Fundi gari/saa/umeme nk
Chomeka chomeka
Ringi
 
Mabeberu
Jinga
Lofa
Jogoo Hawiki
Kipenseli
Fundi gari/saa/umeme nk
Chomeka chomeka
Ringi

hahahh mie hiyo ya jogoo Hawiki nimeipenda lol
maana najua kati ya majina yote duniani hii itawauma hahah lol
 
AH AH ah ah pole mwanamke mwenzangu!alichoka kula kande dear akafata masotojo ya huku tena kanieleza meeeeengi kuhusu ww,sema basi tu.usijali wako wachache we kan share!πŸ˜›eace:πŸ˜›eace:πŸ˜›eace:
miaka yote hii leo ndo ananifanyia hivi ..
iiiiiiiiiiiiiii mie sina hamu...
dunia hii ni chungu sana
mmmmmmm:Cry::Cry::Cry:
 
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?

Mfano:

1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI

Kama unayajua mengine unaweza ongezea

buzi
kibostani
kidumu
ATM
Mariooo
king'asti
serengeti boy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…