afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
AH AH ah ah pole mwanamke mwenzangu!alichoka kula kande dear akafata masotojo ya huku tena kanieleza meeeeengi kuhusu ww,sema basi tu.usijali wako wachache we kan share!😛eace:😛eace:😛eace:
mmmhhh mie mambo ya kuchangia dhahabu yangu sitaki...
haya mie bado namauchungu sanaaa ...
uuu wiii:Cry::Cry:
mie nilimwamini 100%..
lakini mmhh
haya we ngoja arudi..:Cry: