Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo matatizo ya kutumia sehemu ndogo ya akili yako. Ulisoma nini maana kila mtu anasema ana digrii. Sasa kama ulikopa ujue mkopo unakuumiza bure tu bila elimu.Mama umelazilishwa kuja kujadili umuache mmeo peke yake?
Tukianza kuendekeza ukabila na kila mtu akawa anamkubali mtu wa kabila lake tu na hata kura ziwe zinapigwa kwa kuangalia kabila la mtu basi Wasukuma watatawala hii nchi milele, ni upumbavu wako tu ndio uliokusukuma kuleta topic ya kipumbavu humu
WEWE ni MBIRIKIMO WA FIKRA,UKIWATAJA WASUKUMA,WANAFIKIRI ASILIMIA MKUBWA YA WATANZANIA WOOTE,Madhala ya kufikiri kwa mnyeo
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
That is nonsense it is not an important issue to discusse1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Yule dogo tuombe Mungu aishie hapo akipata madaraka makubwa atamzidi makondaKuna Dotto James kuna yule mwenyekiti wa UVCCM kijana wa kudunga watu sindano.Huyu mpinzani wake alibanbikiwa kesi ya rushwaa baada ya uchaguzi kesi ikafutwa.
Kwa sasa sifa sio tatizo, wilaya 1 inaweza kuwa na wenye sifa kibao, ni busara tu utakiwa ila kuna makabila kama we ni kiongozi ukachagua wa kabila lako 4 na huku kwingine ukachagua 40 bado utaandamwa kuwa wewe ni mkabila, ni kama iliyo kwa hizi dini 2 upande mmoja wakifuatana 7 tu kati 40 utasikia kelele kibao lkn upande mwingine wakifanya hivyo wala hauwezi sikia kelele za kutisha.Kama ana vigezo bi sahihi
Baba yako akiwa Rais haikunyimi wewe mtoto au ndugu haki ya kuwa Kiongozi kwny Serikali kama una sifa na vigezo
Natumaini unayaandika haya kwa moyo safi. Na isiishie kwa ukabila tu, bali kwa kila aina yoyote ya upendeleo, iwe jinsia, dini n.k.Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi
Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?
Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?
Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila
Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Ukweli ni kuwa Jenerali Msuguri hakuwa ndugu na Mwalimu Nyerere ila walikuwa wanatoka kijiji kimoja.Wewe unapaswa kubisha kuwa Nyerere hakumteua Mdogo wake kuwa Mbunge, sio kuuliza maswali ya kitoto!
Najua umestuka kuwapa Historia Vijana kuwa Nyerere alimteua Mdogo wake kuwa Mbunge
Hapo sijaaamua kuwaambia Vijana kuwa alimteua pia Mwana Ukoo wake alieishia darasa la 3 kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF) Generali Musuguri
Sijui kama wanajua kuwa Mwana Ukoo wake Nyerere, Joseph Butiku nae akateuliwa kuwa Katibu wa Ikulu
Unauliza lini Hayati Karume alimteua Mwanae kuwa 'Doto James' wakati kwny comment uliyo quote nimeweka mwaka unataka jibu gani la zaid?
Shida iliyopo kwa watu wengi ni kutofuatilia historia. Wakienda jukwaa la historia wanasema mzee mohamedi ni mdini.badla ya kusoma anayoandika. Shida sana hiiWewe unapaswa kubisha kuwa Nyerere hakumteua Mdogo wake kuwa Mbunge, sio kuuliza maswali ya kitoto!
Najua umestuka kuwapa Historia Vijana kuwa Nyerere alimteua Mdogo wake kuwa Mbunge
Hapo sijaaamua kuwaambia Vijana kuwa alimteua pia Mwana Ukoo wake alieishia darasa la 3 kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF) Generali Musuguri
Sijui kama wanajua kuwa Mwana Ukoo wake Nyerere, Joseph Butiku nae akateuliwa kuwa Katibu wa Ikulu
Unauliza lini Hayati Karume alimteua Mwanae kuwa 'Doto James' wakati kwny comment uliyo quote nimeweka mwaka unataka jibu gani la zaid?
Hata wakwere walipendeleana wakati ule. Angalia marais Zanzibar unasemaje.Wachaga na kipindi cha Mkapa kwa ushemeji. Temea chini suala la upendeleo. Liko kila Mahala na kila wakati. Tusiendekeze itikadi na fikra za ukabila na udini. Kiongozi mkuu lazima achague confidents wake na wenye sifa kwa urahisi wa uongozi.Sikuwahi tambua hata kidogo kuwa Wasukuma ni wakabila namna hii ndani ya nchi hii! Hawafai hata kidogo!!
Afadhali viongozi watoke kwenye makabila madogo madogo kwa sasa! Ila wasukuma hapana tema mate chini, ptuuu
Elias NtiruhungwaMkurugenzi wa Tarime from Hutu land kabisaaa .
Sio kwa kiwango hiki bila hata aibu?Hata wakwere walipendeleana wakati ule. Angalia marais Zanzibar unasemaje.Wachaga na kipindi cha Mkapa kwa ushemeji. Temea chini suala la upendeleo. Liko kila Mahala na kila wakati. Tusiendekeze itikadi na fikra za ukabila na udini. Kiongozi mkuu lazima achague confidents wake na wenye sifa kwa urahisi wa uongozi.
Wasukuma ni wana ukabila sana,,kiwekwe kipengele kwenye katiba marufuku wasukuma kupewa madaraka makubwa kabisakabisa,,Sikuwahi tambua hata kidogo kuwa Wasukuma ni wakabila namna hii ndani ya nchi hii! Hawafai hata kidogo!!
Afadhali viongozi watoke kwenye makabila madogo madogo kwa sasa! Ila wasukuma hapana tema mate chini, ptuuu
Sio kwa kiwango hiki bila hata aibu?