Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Status
Not open for further replies.
Sikuwahi tambua hata kidogo kuwa Wasukuma ni wakabila namna hii ndani ya nchi hii! Hawafai hata kidogo!!

Afadhali viongozi watoke kwenye makabila madogo madogo kwa sasa! Ila wasukuma hapana tema mate chini, ptuuu
Kabila gani sio wa kabila?
 
7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Joker alikuw konyo aisee
 
Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi

Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?

Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?

Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila

Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Mwenda zake ndo ameipanda imeota wazi wazi mpaka kampeni alipiga kwa kilugha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu sasa ni uchochezi..amkeni Watanzania..Kama ndugu yangu unania ya kuwachonganisha Watanzania umechelewa..sisi hatutazamani kwa ukanda, udini au ukabila..hizo siasa Zako za maji taka baki nazo mwenyewe..
Mungu akusaidie uachane na roho ya ubaguzi uliyo nayo
Usitusemee wa tz "telling the truth is not a crime" ukabila ulizidi we musukuma
 
Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi

Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?

Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?

Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila

Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Wewe ni msukuma?
 
Kwa hiyo Ccm kuwa na wafuasi wengi kanda ya ziwa ndio mnaipendelea?
Hata vyama vingine vya upinzani wanaweka viongozi wa juu wa kanda ya ziwa kwenye vyama vyao.
Nimetoa mfano pia kipindi cha kampeni,wagombea Urais wa vyama hivi vikubwa,kanda ya ziwa anaweza kwenda kufanya kampeni zaidi ya marambili au tatu tofauti na kanda zingine.
Hii inaonyesha kanda ya ziwa uwenda kuna kitu uko si kwa upendeleo huu.
 
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala

2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.

3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.

4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.

5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba

6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.

Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Tatizo ilikuwa kuwakosa wachaga waliojiita ni wasomi sana nchi hii kwa certificate za chuo cha kodi na ajira za CRDB. Munatuchosha bhana! KIla siku tujadili yale yale! Mbona humtaji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora?
 
7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Huko kwenye Mashirika ya Umma, Taasisi za Serikali na Wakala wa Serikali ni balaa. Kuanzia Wakuu wa Taasisi mpaka mameneja. Wote ni Mgosha.

Ila taratibu taratibu watafyekelewa mbali.
 
Tatizo ilikuwa kuwakosa wachaga waliojiita ni wasomi sana nchi hii kwa certificate za chuo cha kodi na ajira za CRDB. Munatuchosha bahana! KIla siku tujadili yale yale! Mbona humtaji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora?
Mama umelazilishwa kuja kujadili umuache mmeo peke yake?
 
Usitusemee wa tz "telling the truth is not a crime" ukabila ulizidi we musukuma
Hapana..ila nakemea hiyo roho ya ubaguzi aliyo nayo mleta mada..tuwe wazalendo..ukiona mtu anakaa chini anaanza kukagua viongozi waliopo madarakani ni wa Kanda gani, kabila gani au dini gani..ujue huyo amejaa roho ya ubaguzi.tunaimani kwenye nchi yetu viongozi hawachaguliwi kwa misingi ya dini, kabila au ukanda..Bali uwezo wao kwenye kazi husika, uzoefu na elimu yao..Kama kuna mapungufu ya kibinadamu..Basi serikali iyarekebishe mapema
Ila ndugu zangu Watanzania tuache kuzungumza ukabila, udini au ukanda..hii mbegu ikiota itakuwa mbaya kwa mustakabali wa taifa letu
 
Wewe

Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC-Wilson Mahera
Kama hujui uliza
Wasukuma wote hao. Au unataka kusema ni Wazaramu?
 
Hapana..ila nakemea hiyo roho ya ubaguzi aliyo nayo mleta mada..tuwe wazalendo..ukiona mtu anakaa chini anaanza kukagua viongozi waliopo madarakani ni wa Kanda gani, kabila gani au dini gani..ujue huyo amejaa roho ya ubaguzi.tunaimani kwenye nchi yetu viongozi hawachaguliwi kwa misingi ya dini, kabila au ukanda..Bali uwezo wao kwenye kazi husika, uzoefu na elimu yao..Kama kuna mapungufu ya kibinadamu..Basi serikali iyarekebishe mapema
Ila ndugu zangu Watanzania tuache kuzungumza ukabila, udini au ukanda..hii mbegu ikiota itakuwa mbaya kwa mustakabali wa taifa letu
Upendeleo wa wazi unakaguliwa ?
 
Huu sasa ni uchochezi..amkeni Watanzania..Kama ndugu yangu unania ya kuwachonganisha Watanzania umechelewa..sisi hatutazamani kwa ukanda, udini au ukabila..hizo siasa Zako za maji taka baki nazo mwenyewe..
Mungu akusaidie uachane na roho ya ubaguzi uliyo nayo
Ubaguzi ulianzishwa na wateule kwa kujiona wao ni bora na wanamamlaka kuliko wengine
 
Bashi
Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi

Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?

Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?

Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila

Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Bashite,aka Paulo Makonda ingawa jamaa hakumtaja lakini katuaomba tuongeze na sisi tunaowajua.
Huyu Hana sifa ,Ana sifa mbaya na alighushi vyeti,Jiwe alifukuza watu wote wenye vyeti feki lakini Bashite hakuguswa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom