Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Lazima wamtetee maana ndiyo wanufaika wa huo mfumoIla ukitaja teuzi zenye viashiria vya udini wa Jiwe, hawa wooooote wanaomlaani kwa ukabila wanaungana kumtetea [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima wamtetee maana ndiyo wanufaika wa huo mfumoIla ukitaja teuzi zenye viashiria vya udini wa Jiwe, hawa wooooote wanaomlaani kwa ukabila wanaungana kumtetea [emoji16][emoji16]
Nenda kalaleHata kuandika sijui
Sikuwahi kufanya hivyo.Wewe ukiwemo,au leo unajisahaulisha mkuu.
Ndiyo maana sasa inabidi tumsapoti mama ili aondoe huu uchafu kabisaWalikujawa na kiburi cha kuingiza mifugo kwenye mashamba ya watu kisa wao wanaundugu na wazinza. Cha msingi tujipange upya tusinyanyasane
Anajua ila anajifanya sunguraHujui kusoma?
Madhala ya kufikiri kwa mnyeoWewe ni zumbukuku kabisa,unaakili kama za kuku,kwa hiyo wewe ulitaka kabila lake asiwateue hata mmoja,hebu tazama baraza la mawazili kipindi cha mwinyi,do pius ngw'andu,dk william shija,marcel komanya,charles kabeho,Steven kazi,bujiku sakila, dk nkwabi ngwa'nakilala,Andrew change,hawa woote walikuwa vigogo ktk nafasi za kuteuliwa
Huyu mama mtaanza kumchafua soon,hata Magufuli mlianza kwa mapambio hivihivi.Ninyi wanafiki sana.Ndiyo maana sasa inabidi tumsapoti mama ili aondoe huu uchafu kabisa
Bali alikuwa mbaguziNinyi si mlisema Magufuli hakuwa msukuma?
We huoni?Haya tuachane basi na mpambe wa Rais.
Haya nijibu basi na huyu waziri mpya wa mambo ya nje ni Muhaya,vipi Rais bado anapendelea wa kanda ya ziwa?
Masukuma Majinga sana.kama alivyokuwa mama yako
Basi kama hukufanya hivyo mkuu una akili sana.Sikuwahi kufanya hivyo.
Hii post yako leo ya kipumbavu sana mkuuMasukuma Majinga sana.
Hakuna aliye msifia huyo mwendazakeHuyu mama mtaanza kumchafua soon,hata Magufuli mlianza kwa mapambio hivihivi.Ninyi wanafiki sana.
Hujui kuwa alianza vizuri baadae ndio akaharibu?Huyu mama mtaanza kumchafua soon,hata Magufuli mlianza kwa mapambio hivihivi.Ninyi wanafiki sana.
Hata kujisahaulisha kwako unadhihirisha unafiki wako mkuuHakuna aliye msifia huyo mwendazake
Nisamehe sana.. Maujinga yao yametufikisha huku.Hii post yako leo ya kipumbavu sana mkuu
Kwanini usiwe wewe ndiye mpumbaf?Hii post yako leo ya kipumbavu sana mkuu
Alikuwa na umri gani?Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi
Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?
Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?
Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila
Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Naona umelivamia jukwaaHata kujisahaulisha kwako unadhihirisha unafiki wako mkuu
Alipomtumbua mjomba wako fisadi ndipo akawa mbaya kwako?Hujui kuwa alianza vizuri baadae ndio akaharibu?