Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Status
Not open for further replies.
Wewe

Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC
Kama hujui uliza

Wewe

Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC-Wilson Mahera
Kama hujui uliza
Matatizo ya kulala kwenye pombe za kienyeji kuamkia pasaka . Hatuongelei issue ya makabila hapa, bali tunaongelea ukanda walikotokea.
Wewe ndio mku.ndu kabisa
Hata wewe uko kwenye orodha ya wanatakiwa kwenda kuchunga mbuzi kwenu.
 
Matatizo ya kulala kwenye pombe za kienyeji kuamkia pasaka . Hatuongelei issue ya makabila hapa, bali tunaongelea ukanda walikotokea.
Mpambe wa Rais wa sasa,waziri wa mambo ya nje wa sasa
hawa ni watu wa kanda ya ziwa.
Unaonaje hapo bado Rais Samia anawapendelea watu wa kanda ya ziwa?
 
JPM anaitwa Mkabila kwa kuteua Watu wengi wa Kabila lake ila haitwi Mdini kwa kuteua wengi wa dini yake…kwny Dini anatetewa kuwa tuangalie sifa za walioteuliwa
Binafsi naongelea ukabila,huko kwenye dini sitaki kuingia maana najua mapambano ya dini ni mbaya sana.
 
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala

2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.

3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.

4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.

5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba

6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.

Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Awamu ya 5 imepita unasumbua watu bure
 
Mpambe wa Rais wa sasa,waziri wa mambo ya nje wa sasa
hawa ni watu wa kanda ya ziwa.
Unaonaje hapo bado Rais Samia anawapendelea watu wa kanda ya ziwa?
Mpambe wa rais nae ni nafasi ya kiongozi wa jamii? Kwa ujumla hata sasa bado hawajabalance vizuri.
 
Yaani upendeleo wa awamu ya 5 kwa wasukuma ndiyo unaliganisha na upendeleo wa Nyerere kwa watu wa Mara? ubongo wako utakuwa na kutu. Uzuri awamu ya 5, upendeleo ulikuwa wa wazi kabisa bila kificho chochote tena kwa kasi ya 4G.
 
Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi

Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?

Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?

Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila

Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Washenzi tu hao wanaleta ukabila wakati hao walio chaguliwa ni watanzani hapa ukabila unaanza na wa kulaumia ni kigogo
 
JPM kabla hajafa aliitwa Mhutu leo kafa wasenge wanasema ni msukuma which is which.Dr Mpango kawa VP anaitwa Mhutu wa Burundi, hii nchi tulipo ni patamu Sana tutafika tu.Hizi elements zikipenya zaidi kwa wananchi ndio patakuwa patamu zaidi itakuwa ukabila ukabila ukabila, nafasi za juu za uongozi zitashikwa na makabila makubwa tu, wengine watabaki kulalamika tu nyuma ya keyboards na hawatafanya lolote
 
Hakuna sababu ya kupanic kijana,upendeleo kwa wasukuma ulikuwa wa kiwango kikubwa sana na usio na kificho chochote.
Alafu kama kuna tofauti kati yenu mwingine anasema kujaza wa kanda ya ziwa,wewe unasema kujaza wasukuma!!
 
Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi

Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?

Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?

Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila

Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Walikujawa na kiburi cha kuingiza mifugo kwenye mashamba ya watu kisa wao wanaundugu na wazinza. Cha msingi tujipange upya tusinyanyasane
 
Alafu kama kuna tofauti kati yenu mwingine anasema kujaza wa kanda ya ziwa,wewe unasema kujaza wasukuma!!
Iyo kanda ya ziwa ni code tu inayotumika,lakini maana ya neno kanda ya ziwa kwa muktadha huu inaeleweka inamaanishana nini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom