Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Status
Not open for further replies.
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala

2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.

3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.

4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.

5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba

6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.

Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Mkurugenzi wa TRC
 
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala

2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.

3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.

4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.

5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba

6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.

Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
 
Nilikupa Mfano wa Nyerere kwa makusudi maana nilijua utakuja na point za kutetea 'Nepotism' yake

Basi tumia point hizo hizo kumtetea JPM kuwa kumbe tatizo sio kuteua Ndugu zako issue ni jee wanastahiki au laa… basi wateule wa JPM ambao ni wasukuma tujadili sifa zao kama wanastahiki au laa sio kuleta issue za kikabila…
Sio sahihi kujaza chuki zenu za kikabila wakati mnaupinga ukabila

Nashangaa hata wale waliokula fursa za kibiashara wakati wa Anna Mkapa nao eti wanapinga 'ukabila' wa Wasukuma… hata wale waliolamba 'fursa' wakati wa Kimei CRDB nao eti 'wamehuzunishwa' na ukabila wa JPM
Tatizo lako unabisha kwa ushabiki, huku hutaki kuangalia kuwa unapokuwa mtawa unapofanyq uteuzi lazima ubalance makabila ili kuleta umoja. Haijalishi kuwa kabila lako wanazo sifa za kuwa viongozi lazima ubalance. Kwa hiyo haiingii akilini kusema eti kwa kuwa wasukuma wanasifa basi wapewe teuzi tu.
 
7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Haikuwa poa kabisa.
 
Kwani Rais akiwa kabila fulani maana yake watu wa kabila lile wanapoteza haki na fursa ya kuwa Viongozi hata kama wana sifa na Vigezo?

Si sahihi kupinga ukabila kwa njia za kikabila
Mkuu pohamba najua wewe ni mhenga mwenzangu.
Watu wanacho ongelea ni usawa kwenye uteuzi wa hawa viongozi wetu.

Siyo siri kabisa kuwa ukianza kupanga listi tangu namba moja hadi ya mwisho kwa kikabila utagundua wenzetu wa mwanza ni wengi sana.

Nafikiri ulikuwa unaona viongozi wa awamu ya kwanza walivyo kuwa .
Sina ubaya wowote na maamuzi ya mwenye mamlaka ya kuwachagua ila kama binadamu lazima kutoa wasiwasi wangu.
 
Mkuu pohamba najua wewe ni mhenga mwenzangu.
Watu wanacho ongelea ni usawa kwenye uteuzi wa hawa viongozi wetu.

Siyo siri kabisa kuwa ukianza kupanga listi tangu namba moja hadi ya mwisho kwa kikabila utagundua wenzetu wa mwanza ni wengi sana.

Nafikiri ulikuwa unaona viongozi wa awamu ya kwanza walivyo kuwa .
Sina ubaya wowote na maamuzi ya mwenye mamlaka ya kuwachagua ila kama binadamu lazima kutoa wasiwasi wangu.
Kuna mapungufu yalitokea awamu ya tano, hakukuwa na uwiano mzuri wa kikabila.
 
Wewe
7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC-Wilson Mahera
Kama hujui uliza
 
Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi

Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?

Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?

Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila

Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Bashite alikuwa na sifa gani ndugu yangu ,kaka yangu Pohamba!
 
Ni kweli kulikuwa na hisia za upendeleo lakin tusitumie kigezo hicho kuanza kuwaandama, tutakuwa tunaharibu Tanzania yetu adheem
Walianza wao kutubeza sisi wananchi wa kawaida na tulivumilia ingawa kwa machungu sana .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom