Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #61
Muulize kuhusu Dc wa Tabora, anazo sifa za kuwa kiongozi?Bashite alikuwa na sifa gani ndugu yangu ,kaka yangu Pohamba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize kuhusu Dc wa Tabora, anazo sifa za kuwa kiongozi?Bashite alikuwa na sifa gani ndugu yangu ,kaka yangu Pohamba!
Mkuu pohamba najua wewe ni mhenga mwenzangu.
Watu wanacho ongelea ni usawa kwenye uteuzi wa hawa viongozi wetu.
Siyo siri kabisa kuwa ukianza kupanga listi tangu namba moja hadi ya mwisho kwa kikabila utagundua wenzetu wa mwanza ni wengi sana.
Nafikiri ulikuwa unaona viongozi wa awamu ya kwanza walivyo kuwa .
Sina ubaya wowote na maamuzi ya mwenye mamlaka ya kuwachagua ila kama binadamu lazima kutoa wasiwasi wangu.
Pamoja na wasukuma ndo maana mnaitwa masu...KU.MAWewe ndio mku.ndu kabisa
Matusi ya nini?Wewe ndio mku.ndu kabisa
Mtaje tu mkuu maana wengine hatumjuiMuulize kuhusu Dc wa Tabora, anazo sifa za kuwa kiongozi?
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Wewe
Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC
Kama hujui uliza
Matatizo ya kulala kwenye pombe za kienyeji kuamkia pasaka . Hatuongelei issue ya makabila hapa, bali tunaongelea ukanda walikotokea.Wewe
Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC-Wilson Mahera
Kama hujui uliza
Walianza wao kutubeza sisi wananchi wa kawaida na tulivumilia ingawa kwa machungu sana .
Ndiyo maana kama mimi binafsi naomba sana kila kwenye comments zangu Mungu atusaidie tusafishe yale yaliyopita ili sasa tuijenge Tanzania yetu tuliyo achiwa na baba wa taifa.Sasa hapo kama ni kosa unadhan anapaswa kuandamwa Mteuliwa au Mteuaji?
Ina maana na sie tunaolalamika kuwa JPM aliteua Wakristo wengi tuanze kulaumu Wakristo wa Nchi nzima?
Kuandama Wasukuma kwa kosa la Msukuma mmoja ni dhambi kubwa sana ambayo inawashughulisha watu wa Mataifa mengi Duniani
Sumu haipimwi kwa kuramba Mkuu
Mkurugenzi wa Nssf Dr Urio1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Hakika nimeiona ila sasa tushikamane tuiunganishe Tanzania yetu.Soma post no.32 uone mbegu inayopandwa!
Mnataka wafyekwe wasukuma wote duuh hamzungumzii wachagga waliojaa kila sehemu7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Hakuna sababu ya kupanic kijana,upendeleo kwa wasukuma ulikuwa wa kiwango kikubwa sana na usio na kificho chochote.Ni wasukuma wangapi wameteuliwa?Acha chuki za kikabila.Kama kuna msukuma alikukwaza shughulika na huyo huyo lakini usitugawe Watanzania kwa hoja mfu za kikabila.
Ndiyo maana kama mimi binafsi naomba sana kila kwenye comments zangu Mungu atusaidie tusafishe yale yaliyopita ili sasa tuijenge Tanzania yetu tuliyo achiwa na baba wa taifa.
Huo ndiyo ukweli na matokeo yake ndiyo hii hali unaiona inajionyesha ya mgawanyiko mkubwa sana kwenye jamii yetuKuna mapungufu yalitokea awamu ya tano, hakukuwa na uwiano mzuri wa kikabila.