Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

Status
Not open for further replies.
Sasa hapo kama ni kosa unadhan anapaswa kuandamwa Mteuliwa au Mteuaji?


Ina maana na sie tunaolalamika kuwa JPM aliteua Wakristo wengi tuanze kulaumu Wakristo wa Nchi nzima?

Kuandama Wasukuma kwa kosa la Msukuma mmoja ni dhambi kubwa sana ambayo inawashughulisha watu wa Mataifa mengi Duniani

Sumu haipimwi kwa kuramba Mkuu
Mkuu pohamba najua wewe ni mhenga mwenzangu.
Watu wanacho ongelea ni usawa kwenye uteuzi wa hawa viongozi wetu.

Siyo siri kabisa kuwa ukianza kupanga listi tangu namba moja hadi ya mwisho kwa kikabila utagundua wenzetu wa mwanza ni wengi sana.

Nafikiri ulikuwa unaona viongozi wa awamu ya kwanza walivyo kuwa .
Sina ubaya wowote na maamuzi ya mwenye mamlaka ya kuwachagua ila kama binadamu lazima kutoa wasiwasi wangu.
 
Mkurugenzi wa TRL,IGP,CDF, mwanasheria mkuu,jaji mkuu nk
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala

2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.

3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.

4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.

5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba

6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.

Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
 
Wewe

Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC
Kama hujui uliza

Wewe

Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;
1.Waziri wa afya-Dorothy Gwajima
2.Waziri wa Madini- Dotto Biteko
3.Mkurugenzi wa NEC-Wilson Mahera
Kama hujui uliza
Matatizo ya kulala kwenye pombe za kienyeji kuamkia pasaka . Hatuongelei issue ya makabila hapa, bali tunaongelea ukanda walikotokea.
 
Sasa hapo kama ni kosa unadhan anapaswa kuandamwa Mteuliwa au Mteuaji?


Ina maana na sie tunaolalamika kuwa JPM aliteua Wakristo wengi tuanze kulaumu Wakristo wa Nchi nzima?

Kuandama Wasukuma kwa kosa la Msukuma mmoja ni dhambi kubwa sana ambayo inawashughulisha watu wa Mataifa mengi Duniani

Sumu haipimwi kwa kuramba Mkuu
Ndiyo maana kama mimi binafsi naomba sana kila kwenye comments zangu Mungu atusaidie tusafishe yale yaliyopita ili sasa tuijenge Tanzania yetu tuliyo achiwa na baba wa taifa.
 
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala

2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.

3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.

4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.

5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba

6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.

Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Mkurugenzi wa Nssf Dr Urio
 
7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Mnataka wafyekwe wasukuma wote duuh hamzungumzii wachagga waliojaa kila sehemu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni wasukuma wangapi wameteuliwa?Acha chuki za kikabila.Kama kuna msukuma alikukwaza shughulika na huyo huyo lakini usitugawe Watanzania kwa hoja mfu za kikabila.
Hakuna sababu ya kupanic kijana,upendeleo kwa wasukuma ulikuwa wa kiwango kikubwa sana na usio na kificho chochote.
 
JPM anaitwa Mkabila kwa kuteua Watu wengi wa Kabila lake ila haitwi Mdini kwa kuteua wengi wa dini yake…kwny Dini anatetewa kuwa tuangalie sifa za walioteuliwa
Ndiyo maana kama mimi binafsi naomba sana kila kwenye comments zangu Mungu atusaidie tusafishe yale yaliyopita ili sasa tuijenge Tanzania yetu tuliyo achiwa na baba wa taifa.
 
Hii nchi tunakoelekea itakuwa kama Kenya 🇰🇪, hapo ndio utakuwa mwanzo wa wasenge fulani kuwatia adabu, huwezi ukasema wazi kuwa Wasukuma wabaya huku 1/4 ya population ya Tz ni wao tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom