Majina ya watu wa Nyanda za Juu Kusini (Njombe, Iringa na Mbeya) Ongeza unayoyajua

Asajile-amenibariki,Afundile-kanikomoa,Andendekisye-kanitengeneza,Atupele-ametupa(kupewa),Ahobokile-kanifurahia,Angolile-ameniita,Andulile-amenisaidia,Sekela-nichekee,Andungulile-halina maana kwa sababu ndungu ni uke
eti madamu,,kunyola kwa wabena ni kufinya,,huko kwenu kunyola ina maana gani !?

yaani mtu aseme nitakunyola....................
 
- Antananarivo

- Arachuga - Far North

- Achtung - Danger

- Atugonza - Anatuongoza

- Anabelle - Kamdoli
 
Kajigiri
Mwambapa
Asangalwisye
Mwakatumbura
Kinyamagoha
Fungamwango
Mafumiko
Kinyamapigo
Msugupahulya
Kilipamwambo
Mbogayilongwe wugali mumbele
 
Kajigiri
Mwambapa
Asangalwisye
Mwakatumbura
Kinyamagoha
Fungamwango
Mafumiko
Kinyamapigo
Msugupahulya
Kilipamwambo
Mbogayilongwe wugali mumbele
MsugupahulyaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸΎ
 
Haya majina ni majina ya kiasili ya mikoa ya Nyanda za juu kusini.

1. Ang’ombwize
2. Alatuhiga
3. Atupele
4. Tulalumba
5. Mwadalihe
6. Ambwene
7. Anzawe
8. Chengula
9. Mgaya
10. Mbilinyi
11. Mwaluhanzo
12. Mwamgeni
13. Mwinuka
Mwinuka
 
Asajile-amenibariki,Afundile-kanikomoa,Andendekisye-kanitengeneza,Atupele-ametupa(kupewa),Ahobokile-kanifurahia,Angolile-ameniita,Andulile-amenisaidia,Sekela-nichekee,Andungulile-halina maana kwa sababu ndungu ni uke
Uuuwiiii, hapo la mwisho sasa, au nilisikia vibaya!!
Inawezekana wale vijana Walikuwa wanamdhihaki yule Ms eeee!?? Loooh!!
Bora nimeuliza, maana.....
 
Uuuwiiii, hapo la mwisho sasa, au nilisikia vibaya!!
Inawezekana wale vijana Walikuwa wanamdhihaki yule Ms eeee!?? Loooh!!
Bora nimeuliza, maana.....
Nimekosea,ndungu ni uume,na ndugu ni uke
 
Mlawa,Mlowe,Mlowo,Mlelwa,Mligo,Mlapopo,Mlandizi,Mlambwa,Mlasimbilisi,
Mwalonde,Mwajombe,Mwangata,Mwakalukwa,Mwakalebela,Mwashiuya,Mwalongo, Mwakalebela,Mwakajinga,Mwakalinga,Mwamnyeto,Mwasongwe.
Mwilamba, Mwilombe,Mwinuka,Mwisongwe na kadhalika yapo mengi sana nitajaza server za JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…