π€£π€£π€£πMajina mabayaaaa ila yana maana nzuri sana
eti madamu,,kunyola kwa wabena ni kufinya,,huko kwenu kunyola ina maana gani !?Asajile-amenibariki,Afundile-kanikomoa,Andendekisye-kanitengeneza,Atupele-ametupa(kupewa),Ahobokile-kanifurahia,Angolile-ameniita,Andulile-amenisaidia,Sekela-nichekee,Andungulile-halina maana kwa sababu ndungu ni uke
Msugupahulyaπ€£π€£π€£ππΎKajigiri
Mwambapa
Asangalwisye
Mwakatumbura
Kinyamagoha
Fungamwango
Mafumiko
Kinyamapigo
Msugupahulya
Kilipamwambo
Mbogayilongwe wugali mumbele
π€£π€£π€£π€ Naenda kufutaπ₯΄kumbe ni kweli π€£π€£ππΎππΎila dada ungeeka hata tafsida mweeeee mwafulani
MwinukaHaya majina ni majina ya kiasili ya mikoa ya Nyanda za juu kusini.
1. Angβombwize
2. Alatuhiga
3. Atupele
4. Tulalumba
5. Mwadalihe
6. Ambwene
7. Anzawe
8. Chengula
9. Mgaya
10. Mbilinyi
11. Mwaluhanzo
12. Mwamgeni
13. Mwinuka
Uuuwiiii, hapo la mwisho sasa, au nilisikia vibaya!!Asajile-amenibariki,Afundile-kanikomoa,Andendekisye-kanitengeneza,Atupele-ametupa(kupewa),Ahobokile-kanifurahia,Angolile-ameniita,Andulile-amenisaidia,Sekela-nichekee,Andungulile-halina maana kwa sababu ndungu ni uke
Nimekosea,ndungu ni uume,na ndugu ni ukeUuuwiiii, hapo la mwisho sasa, au nilisikia vibaya!!
Inawezekana wale vijana Walikuwa wanamdhihaki yule Ms eeee!?? Loooh!!
Bora nimeuliza, maana.....
Hata hivyo, walifanya dhihaka, looh!!Nimekosea,ndungu ni uume,na ndugu ni uke
π€£π€£Wanyakyusa utawawezaπHata hivyo, walifanya dhihaka, looh!!
Ndiyo maana walikuwa wanacheka sana.π
Kwani kuna uke wa kiume?Ndutu uke wa kike kinyakyusa
π€£π€£π€£ππππππ DaaahKwani kuna uke wa kiume?
π€£π€£π€£π€£π€ΈKwani kuna uke wa kiume?
abanyakyusa ni kiisu kyaboNdiyo
Abhanyakyusa ni ikhisu kyabho...πabanyakyusa ni kiisu kyabo
Kumbe kuna uke wa kiume πNdutu uke wa kike kinyakyusa
No ni amenisalimia πAmbonisye-amenionyesha