Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
GWAKISA mara ya kwanza naishi na mtu anaeitwa hili jina nilipata tabu sana kulitamka(huwa nina matatizo ya matamshi,hata maneno mengi ya kidhungu huwa napata wakati mgumu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isaga UbalepoAbhanyakyusa ni ikhisu kyabho...😉
😅😅😅Mwabukusi _ muwakilishi
na nyie mtakuwa na dialect mbalimbali kama wachagaNo ni amenisalimia 😅
Sanana nyie mtakuwa na dialect mbalimbali kama wachaga
mpo wengi sana
Mbale ifiki? Kulinindalama?Isaga Ubalepo
Mwakitobe je?Mbale ifiki? Kulinindalama?
Ndalama sikafunje.Mbale ifiki? Kulinindalama?
Okay basi maana ni mbili...ambonisye kumyabho...kanionyesha kwaoNo ni amenisalimia 😅
Okay nimekumbuka...kusalimia ni amponisye-amemsalimia😉No ni amenisalimia 😅
Umbe bhubhubho ingolofuNdalama sikafunje.
Ndio 😅😅😅 ambonisyeOkay nimekumbuka...kusalimia ni amponisye-amemsalimia😉
huku unanipoteza aiseeMbale ifiki? Kulinindalama?
Hahaha...ndalama si ni pesahuku unanipoteza aisee
nihurumie 'ulimbakisya'
NyabwankoNdigwako-mimi ni wako🤣🤣🤣🥴
Okay 😊Ndio 😅😅😅 ambonisye
nkuganile fijoHahaha...ndalama si ni pesa