Kumbe una akili namna hii???[emoji23][emoji23][emoji23] sema hapa yanatajwa majina ambayo ni common, yana watu wengi kwa hiyo ni kawaida kutokea watu wa sampuli tofauti. Jina langu watu wazima tuko wachache. Shule ya msingi miaka yote saba niliyosoma nilikuwa peke yangu shule nzima, o level tulikuwa wawili, Advanced level tulikuwa wawili, chuo kwenye course yangu tulikuwa wawili au nilikuwa peke yangu (sikumbuki vizuri)
Kafanyaje huyu mtakatifu?
Kwanini Sasa?
Ndio na Wewe ulikuwepo umeshikilia mguu wangu ili iingie vzrJuzi tu ulitoka kunaniliwa
Sema usiogopeBhana bhana[emoji2296]
Ndio na Wewe ulikuwepo umeshikilia mguu wangu ili iingie vzr
Akuanzae mmalize πDuh una maneno
Umeng'ata na kupuliza....Hanna haja ya kuomba msamahaIrene; wakimya ila hatari; mnisamehe kina irine kama mpo humu
Jacky, Suzy na Jamila...Happy ni vishoia! πππ
emma kaingiaje kwenye ishu za uzinziKelvin,frank,emma,khamis,salum
wazee was kuopoa mpk majiniAkina Saudi so ndo aka side mnyamwezi?
Wakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.