Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
AhsanteJina halibebi tabia ya mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteJina halibebi tabia ya mtu.
Unamaanisha akina ebitokMtawaonea wenye majina yaliyokuja na boti tyuu yale ya asili hamtawatendea akiii...tuwakumbuke na wao.
Ni kweli, Sina appetite nazo
suzi ilo jina hata kwa billion si mpi mtoto wanguNi majina gan yamekaa kiuzinzi,vicheche?..yaani ukilisikia tu unajua huyu ZOA ZOA ..
Naona unamtetea kada matiko [emoji23][emoji23]Ila wanakuwaga wapo vizuri sana upstairs
ItakuwaSijui ni uzee
Sio huyo tu kuna Bulaya piaNaona unamtetea kada matiko [emoji23][emoji23]
Sio huyo tu kuna Bulaya pia
Ndio wote wapo njema...
Kiukweli sijawahi kumuona Ester mjinga mjinga, sisemi hawapo...mimi sijawahi kumuona
Itakuwa
Ipo wazi sema no feelings Tena I guess menopause inaninyemeleaAu umeweka glue?