Majina yanaweza kuelezea muonekano na tabia ya mtu

hivi mkuu na wanaoanzia na herufi V wanakuwaje?
yaani akina vaileth, vivian, vi...or aron,
 
Jamani jamani !!!!

Mamndenyi . .shkamoo mama. Boni ta nndenyi??!



M'Jr we hujisikii??!
Lizzy mi nasikia maneno ninayoongea, lakini sio kujisikia hivyo ninavyomaanisha hapo....hALAFU NIMEKUMISS BHANA SIKU NYINGI MNO
 
Last edited by a moderator:
hivi mkuu na wanaoanzia na herufi V wanakuwaje?
yaani akina vaileth, vivian, vi...or aron,
Well kwanza nimeanza kujua jina lako kwa mbaliiii, anyway majina niliyoyataja hapo ni kutokana na experience tu mamy sio utaalamu wetu ule ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
na wale akina eddo nao wakoje kitabia?
Kina Edward aka Eddo. Wale niliowahi kukutana nao kwanza wengi wao ni wembamba warefu kiasi, wako very smart kwenye mavazi ila huwa wanakuwa wazinzi wa kimya kimya
 

Wengine ni wa kupigia picha tu
 
Yaani kama ulikuwepo ndugu yangu maana tabia na muonekano ulioutaja hapo vyote ni sawa kabisa
kina edward aka eddo. Wale niliowahi kukutana nao kwanza wengi wao ni wembamba warefu kiasi, wako very smart kwenye mavazi ila huwa wanakuwa wazinzi wa kimya kimya
 
Lizzy mi nasikia maneno ninayoongea, lakini sio kujisikia hivyo ninavyomaanisha hapo....hALAFU NIMEKUMISS BHANA SIKU NYINGI MNO

Unajisikia bana...kila mtu anajisikia kwa namna moja ama nyingine hata kama ni kisirisiri.

Hujanimiss sana bana . .ungeshanitafuta ;-)
 
Last edited by a moderator:
Unajisikia bana...kila mtu anajisikia kwa namna moja ama nyingine hata kama ni kisirisiri.

Hujanimiss sana bana . .ungeshanitafuta ;-)
Haaaa mpaka nilikuanzishia sredi humu kweli sijakumiss tu jamani!
 
Kina Maria huwa ni wapole, wasikivu na wananidhamu. Halafu vilevile ni wanapenda dini.
 
Kuna majina fulani huwa wana nanii kubwa ni wakina nani?
 
uzi wa huyu jamaa wote ni wajuao wanasifa alizzozitaja hapo. hakuacha kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…