Majini/Mapepo ni roho Chafu/Ovu ni Malaika wa Shetani asilimia 100. Fahamu aina na kazi zao

Majini/Mapepo ni roho Chafu/Ovu ni Malaika wa Shetani asilimia 100. Fahamu aina na kazi zao

Mapepo ni nini?
Mapepo ni majini. Malaika waasi wanaosaidiana kazi na mkuu aitwaye ibilisi/shetani. Hawa wana kazi kuu ya kupata wafuasi wa kwenda nao kwenye adhabu ya milele yaani ziwa la moto. (adhabu yao tayari imekwishakutamkwa)

Usidanganyike kuambiwa kuwa jini linaweza kumwabudu Mungu. Jini ni shetani
 
Kwa kadri ya imani yako iko hivyo.Kwa kadri ya imani yangu na utafiti wa muda mrefu Shetani ndiyo pepo.Na hivi Mashetani ni uwingi kumaanisha Malaika muasi na washirika wake.
Hilo la kusema Yesu alikumbwa na Pepo ni kadri pia ya imani yako.Mimi huwa sina hulka ya kubishana ninapenda kutoa hoja.Hoja sharti iambatane na ushahidi.Hoja bila ushahidi hukosa Logic(mantiki).

Tatizo lako kubwa unachaganya Majini na Shetani. Shetani ni sifa si kiumbe, kiumbe ni Jinni aka Mapepo na binaadam.

Yesu mwenyewe alikumbwa na jinni siku 40, umesahau?
n
 
Kwa kadri ya imani yako iko hivyo.Kwa kadri ya imani yangu na utafiti wa muda mrefu Shetani ndiyo pepo.Na hivi Mashetani ni uwingi kumaanisha Malaika muasi na washirika wake.
Hilo la kusema Yesu alikumbwa na Pepo ni kadri pia ya imani yako.Mimi huwa sina hulka ya kubishana ninapenda kutoa hoja.Hoja sharti iambatane na ushahidi.Hoja bila ushahidi hukosa Logic(mantiki).

n


Shetani ni sifa ya kiumbe lakini si kiumbe. Malaika ni kiumbe kisichokuwa na matamanio.

Imani hiyo hiyo yako ndiyo inakufanya umuabudu mzungu aliyevishwa nepi na kudanganywa kuwa huyo ni "Mungu" wako na wewe unaingia kichwa-kichwa bila hata ya kufikiri japo kiduchu.
 
Mapepo ni majini. Malaika waasi wanaosaidiana kazi na mkuu aitwaye ibilisi/shetani. Hawa wana kazi kuu ya kupata wafuasi wa kwenda nao kwenye adhabu ya milele yaani ziwa la moto. (adhabu yao tayari imekwishakutamkwa)

Usidanganyike kuambiwa kuwa jini linaweza kumwabudu Mungu. Jini ni shetani


Wewe wacha porojo, imani hiyo hiyo na kitabu hicho hicho kilichotiwa mikono na watu kinakufanya uamini kuwa mungu wako ni mzungu aliyeveshwa nepi. Hufikiri hata kiduchu.
 
Mapepo ni majini. Malaika waasi wanaosaidiana kazi na mkuu aitwaye ibilisi/shetani. Hawa wana kazi kuu ya kupata wafuasi wa kwenda nao kwenye adhabu ya milele yaani ziwa la moto. (adhabu yao tayari imekwishakutamkwa)

Usidanganyike kuambiwa kuwa jini linaweza kumwabudu Mungu. Jini ni shetani

shetani ni tabia.shetani siyo kiumbe.
jini ni kiumbe wa Mungu.

shet
Kwa kadri ya imani yako iko hivyo.Kwa kadri ya imani yangu na utafiti wa muda mrefu Shetani ndiyo pepo.Na hivi Mashetani ni uwingi kumaanisha Malaika muasi na washirika wake.
Hilo la kusema Yesu alikumbwa na Pepo ni kadri pia ya imani yako.Mimi huwa sina hulka ya kubishana ninapenda kutoa hoja.Hoja sharti iambatane na ushahidi.Hoja bila ushahidi hukosa Logic(mantiki).

n

shetani ni tabia.shetani siyo kiumbe.jini ni kiumbe wa Mungu.
shetani maana yake ni tabia ovu.Majini yaliyoasi huitwa shetani.
pia Binaadamu aliyeasi pia anaitwa shetani sabb ya kitendo/tabia chafu.
Hakuna malaika shetani,malaika wote ni watiifu kwa Mungu na hawana matamanio.
kusema malaika aliyeasi ni shetani siyo kweli ukimwondoa Iblisi ambaye hapo kabla alikuwa jini.

usi-misconcept maana ya neno shetani-shetani ni tabia ovu,hakuna kiumbe kinachoitwa shetani..kuna shetani binaadamu na shetani jini


Matayo 16:
21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha waziwazi wanafunzi wake: "Ni lazima mimi niende Yerusalemu, na huko nikapate mateso mengi yatakayosababishwa na wazee, makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa."

22
Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: "Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!"

23
Lakini Yesu akageuka, akamwambia Petro, "Ondoka mbele yangu Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"

*Yesu anamwambia Petro mawazo yako ni ya ki binaadamu na si ya ki Mungu ,shetani ww..hapa tunajifunza Shetani ni uovu wa petro


yohana 6

68 Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.
69 Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.
70 Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?
 
N
shetani ni tabia.shetani siyo kiumbe.
jini ni kiumbe wa Mungu.

shet


shetani ni tabia.shetani siyo kiumbe.jini ni kiumbe wa Mungu.
shetani maana yake ni tabia ovu.Majini yaliyoasi huitwa shetani.
pia Binaadamu aliyeasi pia anaitwa shetani sabb ya kitendo/tabia chafu.
Hakuna malaika shetani,malaika wote ni watiifu kwa Mungu na hawana matamanio.
kusema malaika aliyeasi ni shetani siyo kweli ukimwondoa Iblisi ambaye hapo kabla alikuwa jini.

usi-misconcept maana ya neno shetani-shetani ni tabia ovu,hakuna kiumbe kinachoitwa shetani..kuna shetani binaadamu na shetani jini


Matayo 16:
21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha waziwazi wanafunzi wake: "Ni lazima mimi niende Yerusalemu, na huko nikapate mateso mengi yatakayosababishwa na wazee, makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa."

22
Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: "Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!"

23
Lakini Yesu akageuka, akamwambia Petro, "Ondoka mbele yangu Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"

*Yesu anamwambia Petro mawazo yako ni ya ki binaadamu na si ya ki Mungu ,shetani ww..hapa tunajifunza Shetani ni uovu wa petro


yohana 6

68 Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.
69 Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.
70 Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?

Shetani na washirika ni viumbe ambavyo mimi na wewe hatuwezi kuhisi uwepo wake kwa physical senses isipokuwa uwezo wa kiovu ndio unaotuathiri.Hawatendi kwa physical senses na ndicho Yesu anakiona kwa Petro.Kwamba maneno yale aliongea shetani lakini kupitia Petro.Wakati Yesu anaongea na Petro alikuwa katika hali ya mwili(physical senses) kwa hiyo ndiyo maana Shetani ilimlazimu ajitokeze katika form ile ya ubinadamu kupitia Petro.
 
N


Shetani na washirika ni viumbe ambavyo mimi na wewe hatuwezi kuhisi uwepo wake kwa physical senses isipokuwa uwezo wa kiovu ndio unaotuathiri.Hawatendi kwa physical senses na ndicho Yesu anakiona kwa Petro.Kwamba maneno yale aliongea shetani lakini kupitia Petro.Wakati Yesu anaongea na Petro alikuwa katika hali ya mwili(physical senses) kwa hiyo ndiyo maana Shetani ilimlazimu ajitokeze katika form ile ya ubinadamu kupitia Petro.


Hayo yako wewe, weka ushahidi.
 
Shetani ni sifa ya kiumbe lakini si kiumbe. Malaika ni kiumbe kisichokuwa na matamanio.

Imani hiyo hiyo yako ndiyo inakufanya umuabudu mzungu aliyevishwa nepi na kudanganywa kuwa huyo ni "Mungu" wako na wewe unaingia kichwa-kichwa bila hata ya kufikiri japo kiduchu.

Asante mama.Ngoja mimi niendelee na huyo Mungu wangu mtinga Nepi! Ninachojali mimi ni Uzima wa Milele na Uhai anaonijalia.Ikiwa yeye ndiye aliyeumba kwanza raw materials na tekinolojia ya hizo nepi kuna ubaya gani maana alitumia vilivyo vya kwake? Wewe na mimi tumeendelea kutinga Nepi hizo hizo na hata yule mume wa Khadija naye alivaa nepi na kunya humo humo.Bila "Muasisi-Mkuu" wangu wa Nepi bibi yako Amina amejifungua na kulea katika mazingira yepi?
 
Asante mama.Ngoja mimi niendelee na huyo Mungu wangu mtinga Nepi! Ninachojali mimi ni Uzima wa Milele na Uhai anaonijalia.Ikiwa yeye ndiye aliyeumba kwanza raw materials na tekinolojia ya hizo nepi kuna ubaya gani maana alitumia vilivyo vya kwake? Wewe na mimi tumeendelea kutinga Nepi hizo hizo na hata yule mume wa Khadija naye alivaa nepi na kunya humo humo.Bila "Muasisi-Mkuu" wangu wa Nepi bibi yako Amina amejifungua na kulea katika mazingira gani yepi?


Wapi anasema Mimi Mungu niabuduni?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wapi anasema Mimi Mungu niabuduni?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Uelewa wangu na wako ni kama Mlima na Kichuguu.Jaribu kufanya tafiti ujue nani aliasisi imani ya majini na mwaka gani? Je imani hiyo tangu ilitwe na Mwanae Amina imesaidia watu kuondokana na umaskini? Je Bakheressa anatajirika kwa kuuza Ice Cream na Ngano au kwa kufuga majini? Nani anayesoma ujinga sisi au wewe? Ni majini yamezibadilisha nchi za Kiarabu kiuchumi au Mafuta,Gesi na Utalii?
 
Uelewa wangu na wako ni kama Mlima na Kichuguu.Jaribu kufanya tafiti ujue nani aliasisi imani ya majini na mwaka gani? Je imani hiyo tangu ilitwe na Mwanae Amina imesaidia watu kuondokana na umaskini? Je Bakheressa anatajirika kwa kuuza Ice Cream na Ngano au kwa kufuga majini? Nani anayesoma ujinga sisi au wewe? Ni majini yamezibadilisha nchi za Kiarabu kiuchumi au Mafuta,Gesi na Utalii?


Wewe achana na uelewa wako, wewe unauelewa zaidi ya Yesu?

Mimi nimekuuliza wapi Yesu anasema "mimi Mungu"?

Tazama mimi nnakuonesha anasema ametumwa (Mtume) na Mungu wa pekee:

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
Yohana 17.3-4
 
Kuna umuhimu wa kurekebisha kiswahili chetu...kumbe KAIMU ni jini....
 
Ila hujatoa maelezo kamili.
Majini na bange wapi na wapi. Na katika ulimwengu huu majini huwa yanaogopa moshi wa bangeee
Rekebisha halaf upost tena

Patricky Mao Tsung
 
Kiongozi mmoja mkubwa anaweza kuwa na jinni Subha....
 
Uelewa wangu na wako ni kama Mlima na Kichuguu.Jaribu kufanya tafiti ujue nani aliasisi imani ya majini na mwaka gani? Je imani hiyo tangu ilitwe na Mwanae Amina imesaidia watu kuondokana na umaskini? Je Bakheressa anatajirika kwa kuuza Ice Cream na Ngano au kwa kufuga majini? Nani anayesoma ujinga sisi au wewe? Ni majini yamezibadilisha nchi za Kiarabu kiuchumi au Mafuta,Gesi na Utalii?

Mapepo ni nini?
 
Tatizo lako kubwa unachaganya Majini na Shetani. Shetani ni sifa si kiumbe, kiumbe ni Jinni aka Mapepo na binaadam.

Yesu mwenyewe alikumbwa na jinni siku 40, umesahau?
Yesu alikumbwa na Jinni siku 40?[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Nijuavyo na Biblia niliyosoma inasema Yesu alifunga kula siku 40
 
Uelewa wangu na wako ni kama Mlima na Kichuguu.Jaribu kufanya tafiti ujue nani aliasisi imani ya majini na mwaka gani? Je imani hiyo tangu ilitwe na Mwanae Amina imesaidia watu kuondokana na umaskini? Je Bakheressa anatajirika kwa kuuza Ice Cream na Ngano au kwa kufuga majini? Nani anayesoma ujinga sisi au wewe? Ni majini yamezibadilisha nchi za Kiarabu kiuchumi au Mafuta,Gesi na Utalii?
Asiyekuwepo hastahili kumjadili,Bakhresa hayupo hapa Bali wewe na Bi Faizafoxy. Jaribu kuheshimu wengine katika kujadili
 
Back
Top Bottom