Majirani ni maadui sana hata kuliko alivyoelekeza Mwenyezi mungu

Majirani ni maadui sana hata kuliko alivyoelekeza Mwenyezi mungu

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Pole sana Jirani yangu mzuri,
Sasa Jirani yupi unamzungumzia!?
Maana sentence inaukakasi kidogo
Code zenyewe zinafunguka nusu nusu
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Kuna baadhi ya vitu huwa vinawaumiza watu wengine, lakini nivionaga havina impact, na Kwa upande wangu haviwezi nisumbua.

Au Mimi ndio ninashida?
 
Huo muda WA kuanza kukaa na kukuuliza habari za watoto ,sijui familia ,sijui umelalaje .....hivi haya ni Mambo ya kulalamika kweli [emoji23]....

inaonekana unapenda attention kutoka Kwa watu ,kaa ukijua Kila MTU anatembea anawaza yake ,salamu kama haitoshi wewe ndio una matatizo ....
 
Walinichosha majirani zangu mtaani, (uswazi.com)
Ukiingiza demu hata saa 8 za usiku, kesho taarifa kijiweni.
Unafua unaanika nguo kwenye kamba, zinaibiwa saa 8 za mchana,
Kila mmoja jibu lake ni sijui. 😂😂🤣

Vya saa 8 usiku wanajua, vya saa 8 mchana hakuna ajuae. 😂🤣
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Akuchangamkie kivip ,kama unamtaka sema ,....attention ambazo hazina maana zinapelekea ugomvi kwenye ndoa za watu ....
 
Muda mwingine ni dhana tu.

Unaweza kuhisi hivyo ila katika uhalisia haipo hivyo.

Sio watu wote wachangamfu au wenye kuchangamana sana.

Kama una ushahidi na tuhuma zako ni sawa, ila isiwe dhana tu kwa sababu ya mambo madogo.
 
Back
Top Bottom