Majirani ni maadui sana hata kuliko alivyoelekeza Mwenyezi mungu

Majirani ni maadui sana hata kuliko alivyoelekeza Mwenyezi mungu

Mpaka Mungu anasema mpende jirani yako kama nafsi yako alijua hiki ni kipengele na ni mtihani kwa walio wengi ,ingawa in biblical perspective jirani ni mtu yeyote aliye karibu nawe, lakini jirani wa kupakana nyumba hasa maeneo ya uswahilini ili miishi vizuri ,basi mmoja ajifanye mjinga
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Wabongo mnapenda sana masalamu mareeeefuuuuu!, ukisha pewa hi inatosha,kama nyumbani kuna wagonjwa wwe ndiyo useme,usisubiri hadi uulizwe, watu wana mambo mengi vichwani mwao siku hizi!!!
 
Huna uwezo huo acha kujitapa.

Maskini mkipata mnaleta dharau na kejeli kwe wengine.

Akuonee wivu wa nini?

Kupata kagari kamoja tu basi unajihisi watu wanakuonea wivu.
Wewe ndiye jirani yake anayemzungumzia hapa?
 
Salam,kuzoeana siyo lazima

Ishikimpango wako

Ova
Ila mkuu mrangi nimekustudy sana humu. Unajua kuishi na watu. Nakumbuka ulicoment humu ulipelekagwa staki shari polisi ukadai hata mtu akikupiga tena ngumi ya taya kwa maksudi hulipizi unapotezea.
 
Labda naye ana priorities zake. Mazoea huzaa dharau(Kuchukuliana poa), dharau huzaa ugomvi.
 
Katika nyumba za kupanga mara nyingi wivu wa wapangaji wenzio unakuwa ktk vitu 2.
-- Kula vizuri
--Kuvaa vizuri

Lakini ktk nyumba zetu wenyewe tunazomiliki kunakuwa na wivu wa maendeleo,
Mfano.
--nyumba ikiwa nzr kuliko ya jirani.
--matengenezo ya mara kwa mara nyumbani kwako.
--umenunuwa gari/umeweka ukuta /unapaka Rangi mara kwa mara.

Jirani anakuwa anachukia,,


Kwangu Mimi nahesabu jirani ndy adui Namba moja .
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Kwa hiyo jirani yako huyo ndo taswira ya majirani wote?
Usingekuwa unafuatilia mambo yake wala usingekuja kulia lia majukwaani
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Mtendee wema nendraa zako Utabarikiwa sana,
Amen
 
Nije kwenye mada.

Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.

Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.

Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.

Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.

Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Mbona unakufuru, kuna anayemzidi Mungu?
 
Huo muda WA kuanza kukaa na kukuuliza habari za watoto ,sijui familia ,sijui umelalaje .....hivi haya ni Mambo ya kulalamika kweli [emoji23]....

inaonekana unapenda attention kutoka Kwa watu ,kaa ukijua Kila MTU anatembea anawaza yake ,salamu kama haitoshi wewe ndio una matatizo ....
Hata Mimi nashangaa. Nilifikiri labda akimsalimia haitikii. Kumbe anataka amuulize na mambo ya watoto wameamkaje na mwenza wake pia amuulizie ameamkaje? Au kuna jambo jingine ambalo mhusika hajalitaja?
 
Katika nyumba za kupanga mara nyingi wivu wa wapangaji wenzio unakuwa ktk vitu 2.
-- Kula vizuri
--Kuvaa vizuri

Lakini ktk nyumba zetu wenyewe tunazomiliki kunakuwa na wivu wa maendeleo,
Mfano.
--nyumba ikiwa nzr kuliko ya jirani.
--matengenezo ya mara kwa mara nyumbani kwako.
--umenunuwa gari/umeweka ukuta /unapaka Rangi mara kwa mara.

Jirani anakuwa anachukia,,


Kwangu Mimi nahesabu jirani ndy adui Namba moja .
😂🙏

Umelenga mulemule, Bora umenisemea,


Sina chankuongezea ,na huo ndio ukweli,

CHUKi= CHANZO NI WIVU WA KIMAENDELEO,
 
Pole, ni hivi jirani yako ndiyo adui yako namba moja,
 
Mpaka Mungu anasema mpende jirani yako kama nafsi yako alijua hiki ni kipengele na ni mtihani kwa walio wengi ,ingawa in biblical perspective jirani ni mtu yeyote aliye karibu nawe, lakini jirani wa kupakana nyumba hasa maeneo ya uswahilini ili miishi vizuri ,basi mmoja ajifanye mjinga
[emoji419][emoji419]
 
Back
Top Bottom