Pole sana Jirani yangu mzuri,Nije kwenye mada.
Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.
Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.
Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.
Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.
Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Kuna baadhi ya vitu huwa vinawaumiza watu wengine, lakini nivionaga havina impact, na Kwa upande wangu haviwezi nisumbua.Nije kwenye mada.
Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.
Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.
Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.
Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.
Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Akuchangamkie kivip ,kama unamtaka sema ,....attention ambazo hazina maana zinapelekea ugomvi kwenye ndoa za watu ....Nije kwenye mada.
Nemeona kabisa mubashara jirani ana wivu wa kijinga sana.
Cha kushangaza nde mwenye uwezo kifedha kuliko mimi ila anaonesha tamaa za ajabu.
Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.
Kwa kifupi mungu ametutaka tupendane na ujirani uwe zaidi. Lakini naona ujirani una uadui mkubwa sana.
Jamani tukumbuke hapa duniani tunapita tu. Nilitegemea jirani anichangamkie lkn kumbe anachuki anatoa salamu robo robo hata kuongeza maneno ya kujuliana hali zaidi.watoto, mnaendeleaje mambo mbalimbali ya ujirani
Cc chalii wa ara Chaliifrancisco Alexander The GreatInaonesha unapenda sana mashindano ya vitu na kufuatilia mambo ya watu. Kiufupi nikiwa jirani yako siyo lazima tuwe marafiki.
Sam to me....sishughuliki na kisichoniua aiseeKuna baadhi ya vitu huwa vinawaumiza watu wengine, lakini nivionaga havina impact, na Kwa upande wangu haviwezi nisumbua.
Au Mimi ndio ninashida?
Watu wapo sensitive sana, hadi nashangaagaSam to me....sishughuliki na kisichoniua aisee
Mgerasi wewe ni mbusiiiiiiiiii. Unafurahia wanawake na watoto kuuliwa?
Huna uwezo huo acha kujitapa.Ana magari manne mm nina moja tu. Nina moja kwa sababu nina priority zangu. Ningekuwa na magari hata 7 ningetaka.
Kumbuka ndawoo mollel na homeboy mtenga Hamas wamewateka.Mgerasi wewe ni mbusiiiiiiiiii. Unafurahia wanawake na watoto kuuliwa?
Mbusiiiiiiiiiiii.