Naona mlikuja kwa kasi saa hii mnatafuta uchochoro mkakojoe,Wenye nyumba za nyasi hawastahili kwa sababu mnahatarisha maisha yao. Wajengeeni nyumba kwanza halafu muwawekee umeme
Kenyatta alitembelea kijiji ajionee mwenyewe........ Lakini nyinyi mlifanya uzinduzi rasmi complete with ribbon cutting!!!!Kenya did the same!
Kenyatta alitembelea kijiji ajionee mwenyewe........ Lakini nyinyi mlifanya uzinduzi rasmi complete with ribbon cutting!!!!
Hiyo lifti ndiyo ilifanya mbeya kuitwa city.Hawa ndo wale wale walio zindua lift
acheni upumbavu
Na Ruto juu! Kunyaland is renowned Shithole country with hunger all over!
Africa??Hizo comments za Chukwudi na Chinedu zinanivunja mbavu. [emoji38]
Usitulaumumkuu unajua tu aongozwa na shithole mmoja na sisi yumelala tu mpaka hapo jiwe litakapopasuliwa na kuwa kokotoSasa kukata utepe kwenye nyumba ya matope kisa imewekewa umeme....
Watu wanatukana kwenye comments dunia yote
Usitulaumumkuu unajua tu aongozwa na shithole mmoja na sisi yumelala tu mpaka hapo jiwe litakapopasuliwa na kuwa kokoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa je? Huko Nyeri! Mind u the lift in Mbeya was launched by teachers union n not by a politician!Kwaherini ndugu zetu, wenzenu tumeabiri lifti tunaenda zetu. Tuonane kesho, byeeeee! [emoji23]
Ucheshi wa wakenya mitandaoni. Nothing like this happened.