Majirani vioja vyenu vinasababisha EAC tuonekane mabogus na shithole kabisa

Majirani vioja vyenu vinasababisha EAC tuonekane mabogus na shithole kabisa

Kenya did the same!

images


Cqp0m-6XYA0MJWC.jpg
Kenyatta alitembelea kijiji ajionee mwenyewe........ Lakini nyinyi mlifanya uzinduzi rasmi complete with ribbon cutting!!!!
 
Kenyatta alitembelea kijiji ajionee mwenyewe........ Lakini nyinyi mlifanya uzinduzi rasmi complete with ribbon cutting!!!!

U had flags on ur last mile connectivity launching by Uhuru


See the difference on what Magufuli launches

 
Masikini wanapewa umeme uwasaidie kupata habari na kufanya small scale processing industries, welding and metal fabrications wewe unawacheka?

Hapo atapata energy kwa ajili ya mobile devices n.k. Hiyo ni kuwa empower watu maskini.

Hao wanaijeria wana fikra za kimaskini kama wewe ulivyoona hilo tukio ni ushamba au ujinga.

Nyumba ya nyasi ni risk lakini tunaona mijini na kwenye hotel za kitalii wanajenga huts za nyasi au makuti na kuweka umeme , so hapo kipi ni cha ajabu?
Au hatari ya umeme kwenye nyasi ni kijijini tu kwa masikini na sio kwa watalii au hizi Bar za mijini?
 
images
Uzinduzi wa lift ya kwanza Mbeya, alafu wao wanapaita Mbeya City. Hahahahaa [emoji1]
 
794541cb933ad2f7a8255fa492cf3a87.jpg
Kwaherini ndugu zetu, wenzenu tumeabiri lifti tunaenda zetu. Tuonane kesho, byeeeee! [emoji23]
 
Back
Top Bottom