Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,623
- 2,892
ule ulikuwa uzinduzi wa Awamu ya Pili katika mkoa wa Kigoma (REA).Hapa tunazungumza kuhusu kukata utepe kwa nyumba iliyoezekwa nyasi, umeme sehemu kama hiyo ni kuwatoa kafara hiyo familia.
NA hii Ni program ya umeme vijijini.
Sasa ulitaka uzinduzi wa Umeme vijijini uzinduliwe kwenye maghorofa?
hivi unajua nyumba za ki,Africa zilivyo za vijijini?
Tumia Akili Basi
Sent using Jamii Forums mobile app