Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Hivi Instagram unaitwa nani😎
Ukuda umewaponza hata makazini wapo!Wameshampa mkeka laini kabisa bila mechi ya uwanjani yaani hapo hata akiwasamehe akikosa sana atawaambie wamlipe milioni 10 usicheze na binadamu
Naitwa nyamwi255😌Hivi Instagram unaitwa nani😎
Kumbe tunaongelea hisia hapa ? Kama ni hisia basi tunaweza kusema lolote tunalotaka hapa nimejibu accordingly na mada ilivyoletwa hayo mengine ni ya ziada na ndio yatajulikana huko na hapo atashitaki vitendo vya lugha mbovu kwake na sio kuwashitaki wadau kutoa taarifa polisiunahisi jamaa mpuuz kwenda mahakamba bila kuwepo vitendo au lugha mbofu kwake ? watz tunapenda kuishia shallow in thinking
Hivi mkuu unajua kusoma kilichoandikwa au una uwezo wa kuongezea yako ya kwenye mawazo yako hata kama hayajaandikwa ? Kwamba ni ajabu kwa watu kupeleka kesi ambazo hazina mashiko na mwisho wa siku kutupiliwa mbali ?mtu ashitaki kisa kuhojiwa tu ? kwamba hajui kuwa ni wajibu wa polisi kujuwa chanzo cha mapato cha mkazi wao
Na hii taarifa umeitoa wapi kwa mleta uzi au kichwani mwako ?NB ; Majiran kuna namna walifanya kabla na hata walipomfikisha polisi
Wacha nikusakanye nikufollow ukiiona hii nembo we nifollowback🤣🤣Naitwa nyamwi255😌
Dawa ya moto nikuuongeza ili uzidi kuwaka wataipata tu🤣Sasa hata akishinda hao majirani zake wana hiyo 500,Uswazi bwana umbea umbea tu
Kuna watu wanakuwaga na kiherehere,hapo jamaa inabid awakazie tu watoe hiyo elaUmbea umewatokea puani majirani
Alafu yote inabetiwa🤣🤣🤣Kuna watu wanakuwaga na kiherehere,hapo jamaa inabid awakazie tu watoe hiyo ela
Nae huyo jamaa afanye ahame huko uswekeniDawa ya moto nikuuongeza ili uzidi kuwaka wataipata tu🤣
Je? kifungu gani cha Sheria kina ruhusu hilo? Sheria ni msumeno...!We naye mwehu, sasa mahakama haitendi haki kwani hapo mahakama imeshatoa maamuzi yoyote? Wale walivyoreport polisi ni sawa maana kama mtu unamuhisi vibaya una uwezo wa kumreport na polisi walivyofanya naye mahojiano ni sawa pia, na wamejiridhisha kuwa jamaa ni mtu wa kubet tu na wamemuachia aendelee na mambo yale kwahiyo hadi hapo hakuna aliyekosea. Ila jamaa yeye ameona amedhalilishwa na ameamua kwenda mahakamani, ni haki yake pia hivyo tuiachie mahakama ifanye kazi yake.
Wapi huko?😁😁😁 huo msemo wa kutokea puani umenikumbusha mbali sna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wabongo wanapenda kilamtu ahangaike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukila kilaini wanakushtaki maaamaeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majirani maskini ni hatar kwa afya yako mkuu.....
Kazi yake haijulikani wanaomhisi anafanya dili haramuWamemshtaki kwa kosa lipi sasa?
Kwa kweli,Wabongo wengi wajinga wajinga wanadhani kufanya kazi lazima ukatembeze karanga na matembele barabarani.
Kweli kabisa aiseeActually shughuli nyingine zina trade secrets na mtu kukutajia shughuli yake unaweza kumgeza na kumharibia nafasi yake ya kupata kipato.
Kwa msingi huo, habari nzima ya kumtaka mtu ajieleze shughuli yake ni uonevu.
Kama unamshuku mtu, mchunguze mpaka upate makosa, halafu mshitaki kwa makosa hayo.
Kuna watu wana uwezo wa kuishi kwa kuwekeza pesa kwenye masoko ya mitaji na hisa tu, pesa zinawafanyia kazi wao hawahitaji kufanya kazi.
Kuna watu wanafanya kazi kwenye mitandao, unaweza kuona mtu hatoki nje, kumbe anafanya kazi mitandaoni, analiowa nishahara ya kinataifa. Mimi kuna rafiki yangu anafabya kazi remotely online huju Marekani, kuna wakati anaona hana haja ya juwa Marekani anarudi Tanzania anafanya kazi mtandaoni mapaka miezi 6.
Sasa mtu kama huyo ukimshangaa jwamba hatoki nje kwenda kazini, utamshangaa kwa ushamba na ujima tu.
Ila Wajaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona nyota ya pesa inaanza kukutembelea hama kabisa mtaa wenye masikini wengi