Actually shughuli nyingine zina trade secrets na mtu kukutajia shughuli yake unaweza kumgeza na kumharibia nafasi yake ya kupata kipato.
Kwa msingi huo, habari nzima ya kumtaka mtu ajieleze shughuli yake ni uonevu.
Kama unamshuku mtu, mchunguze mpaka upate makosa, halafu mshitaki kwa makosa hayo.
Kuna watu wana uwezo wa kuishi kwa kuwekeza pesa kwenye masoko ya mitaji na hisa tu, pesa zinawafanyia kazi wao hawahitaji kufanya kazi.
Kuna watu wanafanya kazi kwenye mitandao, unaweza kuona mtu hatoki nje, kumbe anafanya kazi mitandaoni, analiowa nishahara ya kinataifa. Mimi kuna rafiki yangu anafabya kazi remotely online huju Marekani, kuna wakati anaona hana haja ya juwa Marekani anarudi Tanzania anafanya kazi mtandaoni mapaka miezi 6.
Sasa mtu kama huyo ukimshangaa jwamba hatoki nje kwenda kazini, utamshangaa kwa ushamba na ujima tu.