Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

unahisi jamaa mpuuz kwenda mahakamba bila kuwepo vitendo au lugha mbofu kwake ? watz tunapenda kuishia shallow in thinking
Kumbe tunaongelea hisia hapa ? Kama ni hisia basi tunaweza kusema lolote tunalotaka hapa nimejibu accordingly na mada ilivyoletwa hayo mengine ni ya ziada na ndio yatajulikana huko na hapo atashitaki vitendo vya lugha mbovu kwake na sio kuwashitaki wadau kutoa taarifa polisi
mtu ashitaki kisa kuhojiwa tu ? kwamba hajui kuwa ni wajibu wa polisi kujuwa chanzo cha mapato cha mkazi wao
Hivi mkuu unajua kusoma kilichoandikwa au una uwezo wa kuongezea yako ya kwenye mawazo yako hata kama hayajaandikwa ? Kwamba ni ajabu kwa watu kupeleka kesi ambazo hazina mashiko na mwisho wa siku kutupiliwa mbali ?
NB ; Majiran kuna namna walifanya kabla na hata walipomfikisha polisi
Na hii taarifa umeitoa wapi kwa mleta uzi au kichwani mwako ?
 

Attachments

  • Screenshot_20240803-232551.jpg
    Screenshot_20240803-232551.jpg
    128.3 KB · Views: 1
We naye mwehu, sasa mahakama haitendi haki kwani hapo mahakama imeshatoa maamuzi yoyote? Wale walivyoreport polisi ni sawa maana kama mtu unamuhisi vibaya una uwezo wa kumreport na polisi walivyofanya naye mahojiano ni sawa pia, na wamejiridhisha kuwa jamaa ni mtu wa kubet tu na wamemuachia aendelee na mambo yale kwahiyo hadi hapo hakuna aliyekosea. Ila jamaa yeye ameona amedhalilishwa na ameamua kwenda mahakamani, ni haki yake pia hivyo tuiachie mahakama ifanye kazi yake.
Je? kifungu gani cha Sheria kina ruhusu hilo? Sheria ni msumeno...!
 
Actually shughuli nyingine zina trade secrets na mtu kukutajia shughuli yake unaweza kumgeza na kumharibia nafasi yake ya kupata kipato.

Kwa msingi huo, habari nzima ya kumtaka mtu ajieleze shughuli yake ni uonevu.

Kama unamshuku mtu, mchunguze mpaka upate makosa, halafu mshitaki kwa makosa hayo.

Kuna watu wana uwezo wa kuishi kwa kuwekeza pesa kwenye masoko ya mitaji na hisa tu, pesa zinawafanyia kazi wao hawahitaji kufanya kazi.

Kuna watu wanafanya kazi kwenye mitandao, unaweza kuona mtu hatoki nje, kumbe anafanya kazi mitandaoni, analiowa nishahara ya kinataifa. Mimi kuna rafiki yangu anafabya kazi remotely online huju Marekani, kuna wakati anaona hana haja ya juwa Marekani anarudi Tanzania anafanya kazi mtandaoni mapaka miezi 6.

Sasa mtu kama huyo ukimshangaa jwamba hatoki nje kwenda kazini, utamshangaa kwa ushamba na ujima tu.
Kweli kabisa aisee
 
Unaanzaje kwenda polisi kutoa taarifa kuwa kuna jamaa mtaani ana hela ila hatujui anafanya kazi gani? na unaanzaje ku conclude kuwa ana dili za kihalifu bila ya kupata link yoyote?
Hii nchi sio ya mchezo mchezo kabisa, vichwa vya watu vina hali mbaya sna
 
Back
Top Bottom